msaada wa kadi ya pikipiki

msaada wa kadi ya pikipiki

Kigger

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
850
Reaction score
772
wadau habari! mi nina pikipiki nilinunua ila kadi ndio sina namaanisha pikipiki used naweza vp kupata kadi au kutumia njia ipi kupata umiliki halali wa iyo pikipiki?
 
Utanunuaje chombo cha moto bila kadi? Je kama ni cha wizi? Mfuate aliyekuuzia akupe kadi,kama hujamalizia pesa yake mtafutie ustake kumzulumu,kama unabisha nenda TRA iliyokaribu nawe
 
wadau habari! mi nina pikipiki nilinunua ila kadi ndio sina namaanisha pikipiki used naweza vp kupata kadi au kutumia njia ipi kupata umiliki halali wa iyo pikipiki?
Ukienda TRA hiyo pikipiki itabaki huko huko kama haina kadi na mmiliki hajulikani nakushauri wasiliana na mtu aliye kuuzia akupe kadi aisee vinginevyo itakuwa mali ya seruikali sio mda
 
We mwizi kabisa, uliwezaje kununua chombo cha moto bila kadi? Mrudishie mwenye Mali chombo chake usitafute matatizo ya bure.
 
Ni rahisi tu.
Chimba shimo kuuubwa, kisha iweke hiyo pikipiki ndani ya hilo shimo ikiwa kichwa chini miguu juu. Then fukia hilo shimo. mwagia maji juu ya shimo kwa wiki nzima...... siku ya nane fukua utaikuta pikipiki yako ikiwa na kadi tayari.





Ebo..... Unawezaje nunua pikipiki bila kadi wewe.....!!!!!???
 
Nenda nayo hospitali ilyo karibu yako ama zahanati ,,zen waambie pikipik yako haina kadi watakupa coz kadi zipo nyingi mpka zinakosa wa kuzichukua ,,,,na pia hospitalin ni wasikivu sana so usiogope ,,,watakusaidia
 
Back
Top Bottom