Msaada wa Katiba ya NGO

Msaada wa Katiba ya NGO

PastorA

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
361
Reaction score
275
Wanasheria na wasomi hodi humu ndani, nibaomba msaada sana wa Katiba ya NGO inayohusu mambo ya Dini (missionaries) na Jamii (reaching the poor people and unreached ones) kwa lengo la kuwasaidia,kwa maana ya kuwafikia kwa shughuli za kidini na za kijamii mfano, kuwapa elimu ya jamii...
Naomba mwenye nayo anisaidie angalau nipate ku edit ili nisonge mbele.
Asanteni.
 
Back
Top Bottom