vijana wengi wanakosa kazi kwa sababu zifuatazo:
1-wanachagua sehemu na aina ya kazi
suluhisho:aombe kazi mahali popote tena zisizo na competition kubwa(mfano zikitangazwa posts za mtwara na dar aombe ya mtwara i.e. kama ni ofisi moja)
2-Nt being agressive enough-wanafikiria ni nani anajuana na nani ili anisaidie.
suluhisho: sometime tujifunze kumtegemea Mungu na akili zetu.awe bold enough to try anything
3-Nt being creative-waajiri hawategemei kupata barua yako kuomba tu kazi,wanategemea kuona unasema utafanya nn kwa ajili yao ili kujazia kapu la kampuni na sio kuchota tu!
suluhisho:muambie aangalie makampuni ambayo yako desperate kwa wafanyakazi (with turnover kubwa),aangalie interests zao.kisha aandike ''expression of interest letters'' akiomba either volunteering,internship ama ajira.hasa makampuni yaliyoko maporini kama ruvuma,geita,mtwara etc.
kila la kheri kwake,hongera zake kwa kumaliza chuo.muambie tusiskie anaolewa hadi apate kazi,mwanamke kipato siku hizi
Wana jf, nina dadayangu kamaliza degree ya sociology mwaka jana. Ametafuta kaz mpaka amechoka. Mwenye link ya kazi tafadhari anijulishe.