Mgazini JF-Expert Member Joined Jan 31, 2013 Posts 293 Reaction score 39 Nov 10, 2014 #1 Habari Ukiomba kubadilishiwa hakimu kesi itaendelea au inaanza upya?
N Nakioze JF-Expert Member Joined Aug 11, 2014 Posts 329 Reaction score 170 Nov 14, 2014 #2 Mgazini said: Habari Ukiomba kubadilishiwa hakimu kesi itaendelea au inaanza upya? Click to expand... hakimu anaeipokea ndiye mwenye uamuzi kwamba ianze upya au iendelee kwa kuangalia uzito wa ushahidi uliokwisha tolewa.
Mgazini said: Habari Ukiomba kubadilishiwa hakimu kesi itaendelea au inaanza upya? Click to expand... hakimu anaeipokea ndiye mwenye uamuzi kwamba ianze upya au iendelee kwa kuangalia uzito wa ushahidi uliokwisha tolewa.