Msaada wa kiafya tafadhari

mrishow1

Member
Joined
Feb 5, 2019
Posts
47
Reaction score
15
HABARI WANA JF!

Nina shida naomba mwenye uelewa anieleze nini tatzo


Ninaishi na jamaa yangu, sasa jamaa huyu ana mchumba wake.

Alikuwa mbali kwa takribani miezi miwili hivi

Sasa jana mchemba ake huyo akawa amerejea na kwa mda wote huo jamaa hakuwahi fanya tendo la ndoa, sasa jana amefanya na mchemba wake lakini akaanza kulalamika anapata maumivu makali sana sehemu za siri hasa anapokua anakojoa toka jana hadi hivi sasa

Naomba nijuzwe ni tatizo gani na namna ya kumsaidia

#shukrani
 
Si useme tu ni wewe?

Anyway yaweza kuwa UTI au Gono

Siyakukothamela Sonini na nini
 
Hilo ni gonjwa la zinaa tena baya sana na linaibisha balaa, awahi hospitali! Kwa kuongezea, nikwamba hilo gonjwa huwa linatokana na mkusanyiko wa manii za mtu zaidi ya mmoja kukutana kwenye via vya uzazi wa mwanamke (uzinzi). Mchumba wake ni mzinifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dalili za mwanzoni za ugonjwa wa gonorrhoea, muda si mrefu ataanza kutoa discharge. Hawahi mapema matibabu, kiufupi huyo mchumba ni mzinifu aka anapigwa kwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…