Msaada wa kiafya upumuaji wa mtoto.

Msaada wa kiafya upumuaji wa mtoto.

gumboot

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2014
Posts
263
Reaction score
93
Habari zenu,

Niko hapa kuomba ushauri wa kiafya juu ya mtoto wangu mwenye miaka mitatu na nusu,Nimehangaika nae saana ila naona hamna mafanikoio,tatizo kubwa ni upumuaji kama nilivoandika yaani wakati wa usiku hii hali ndo inazidi anabanwa kuanzia puani hadi kwenye mbavu na kutoa sauti ambayo huninyima usingizi siku zote.

Hii hali ni toka azaliwe,alizaliwa kwa operation ila baada ya trial na kupata low score kama walivosema wataalamu .

kapata chanzo zote ila jamani nimeisha mpeleka hospital hadi huruma,maana nilimpepeka m/nyamara mara ya kwanza nikiwa natafuta referal ya muhimbili basi pale alichomwa sindano za kutosha ninayoikumbuka jina ni gentamicine na hapo tulikaa siku tanao nikidhani nitapata referal ila madakitari walisema ni pneumonia ikabidili nikubali ila tu baada ya siku kidogo hiyo hali iliendelea ,nikaenda kwa kwa koya nikapewa dawa za vidonge alipata nafuu kidogo ila baadae hali ilirudi nilivorudi pale dawa zikawa zilezile na hapakuwa na mabadiliko ,watu wakanishauri niende kwa Dr.Amir ,yeye alisema ni pumu alichomwa sindano na kupewa sulbutamol inherer akapata nafuu kidogo baadae hali ilirudia wakati bado anatumia zile dawa.

Nilianza kuona tatizo ni tata ila sikukata tamaa nilimpeleka kwa Dr.Massawe akasema hajaona ugonjwa ila nilihudumiwa na Dr.Dulla basi ikabididi niondoke.Ila kwa sababu mtoto anapumua kwa shida niliendelea na hospitali nyingine ya Dr.Ole pale magomeni baada ya kuelekezwa kwa kuna mtaalamu wa ENT basi hapa alipigwa X-ray na kuona kuwa ananyama puani,basi akafanyiwa operation ya kuondoa nyama hizo,akawa kama amepata nafuu kwa miezi sita,ila baada ya hapo hali imerudia na nimeisha mpeleka sanitas lakini waapi ...

Sasa kweli nimechanganyikiwa kwani afya yake inazolota kutokana na upumuaji mbaya na hospitali zetu jamani wanachukulia mambo kirahisi sana yaani mtu unaeenda hospitali kwa nia kabisa ila huduma si nzuri.

Samahani kwa kuandika kwa urefu ila nina mengi maana naomba msaada wa hospitali nzuri itakayo weza kumsaidia mtoto wangu ,ushauri au tiba mbadala.

Asanteni
 
Mkuu huyo mtoto anakohoaje? ie anakohoa mfululizo hadi kukosa sauti na pumzi?
 
Pole sana! Kama uwezo unaruhusu mpeleke Nairobi tafuta best pediatric center huko. Hapa kwetu huduma bado sana na inavyo onekana mwanao anahitaji kufanyiwa uchunguzi makini.
 
Mkuu huyo mtoto anakohoaje? ie anakohoa mfululizo hadi kukosa sauti na pumzi?

Anakohoha mara chache ila usiku ndo spidi inaongezeka pia anapumua kwa shida na kukosa hewa.
 
Pole sana! Kama uwezo unaruhusu mpeleke Nairobi tafuta best pediatric center huko. Hapa kwetu huduma bado sana na inavyo onekana mwanao anahitaji kufanyiwa uchunguzi makini.

Asante uwezo ninao kiasi maana huwa natumia kadi ya strategies,ngoja nianze kuuliza kuhusu huko Nairobi.
 
Anakohoha mara chache ila usiku ndo spidi inaongezeka pia anapumua kwa shida na kukosa hewa.

Mkuu, tatizo kama hilo alikuwanalo mdogo wangu! Tulihangaika sana Mahospitalini! Mwisho wa siku kunamzee alituambia dawa yake, na dogo amekapona fresh tu!
...
Dawa yenyewe ni:
kuchemsha wale kaa wadogo wadogo wa baharini! unamchemshia afu unampa supu yake, kutwa mara mbili, fanya hivyo hadi apone! Mdogo wangu alichukua wiki tatu mpaka nne kupona kabisa!
...
Kaa waliokusudiwa hapo, sio wale kaa wakubwa/Crub! Hao ni wadogo na hawawezi kuwa wakubwa kama Crub! Kwa kawaida guu/gando lake moja linakuwa kubwa kuliko jengine hii ni tofauti na Crub, wao miguu/magando yao yapo sawa!
...
Wanapatikanaje?
Nenda baharini/pwani/ufukweni, wakati maji yametoka, [maji ya bahari hujaa na kutoweka] hao wadudu wanaishi kwenye vishimo, maji yakitoka wanakua wanakula upepo na kuinjoi juu mle!
...
Utawakamataje?
Aisee wale wadudu hawachezi mbali na vishimo/vidimbwi vyao, na ni waoga sana ukiwasogelea tu wanazama vishimoni mwao!
Cha kufanya ili uwanase kabla haujawafikia vizuri [umbali wa kama futi 10] shukua mchanga, warushie kwa nguvu, halafu wafate fasta na uanze kuwaokota, ukiremba sana huwezi kuwapata or utawapata kidogo!
...
Eiyer, Excel tunaomba picha kama uwezekano upo! Kama hamna niitieni Tyta!
 
Last edited by a moderator:
Anakohoha mara chache ila usiku ndo spidi inaongezeka pia anapumua kwa shida na kukosa hewa.

Mkuu, tatizo kama hilo alikuwanalo mdogo wangu! Tulihangaika sana Mahospitalini! Mwisho wa siku kunamzee alituambia dawa yake, na dogo amekapona fresh tu!
...
Dawa yenyewe ni:
kuchemsha wale kaa wadogo wadogo wa baharini! unamchemshia afu unampa supu yake, kutwa mara mbili, fanya hivyo hadi apone! Mdogo wangu alichukua wiki tatu mpaka nne kupona kabisa!
...
Kaa waliokusudiwa hapo, sio wale kaa wakubwa/Crub! Hao ni wadogo na hawawezi kuwa wakubwa kama Crub! Kwa kawaida guu/gando lake moja linakuwa kubwa kuliko jengine hii ni tofauti na Crub, wao miguu/magando yao yapo sawa!
...
Wanapatikanaje?
Nenda baharini/pwani/ufukweni, wakati maji yametoka, [maji ya bahari hujaa na kutoweka] hao wadudu wanaishi kwenye vishimo, maji yakitoka wanakua wanakula upepo na kuinjoi juu mle!
...
Utawakamataje?
Aisee wale wadudu hawachezi mbali na vishimo/vidimbwi vyao, na ni waoga sana ukiwasogelea tu wanazama vishimoni mwao!
Cha kufanya ili uwanase kabla haujawafikia vizuri [umbali wa kama futi 10] shukua mchanga, warushie kwa nguvu, halafu wafate fasta na uanze kuwaokota, ukiremba sana huwezi kuwapata or utawapata kidogo!
...
Eiyer, Excel tunaomba picha kama uwezekano upo! Kama hamna niitieni Tyta!
 
Last edited by a moderator:
Wasiliana na dr wa ent kcmc utpaya huduma tosha
 
Eiyer, Excel tunaomba picha kama uwezekano upo! Kama hamna niitieni Tyta!

images
images
images
2Q==


CC: Tyta kwa msaada zaidi!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, tatizo kama hilo alikuwanalo mdogo wangu! Tulihangaika sana Mahospitalini! Mwisho wa siku kunamzee alituambia dawa yake, na dogo amekapona fresh tu!
...
Dawa yenyewe ni:
kuchemsha wale kaa wadogo wadogo wa baharini! unamchemshia afu unampa supu yake, kutwa mara mbili, fanya hivyo hadi apone! Mdogo wangu alichukua wiki tatu mpaka nne kupona kabisa!
...
Kaa waliokusudiwa hapo, sio wale kaa wakubwa/Crub! Hao ni wadogo na hawawezi kuwa wakubwa kama Crub! Kwa kawaida guu/gando lake moja linakuwa kubwa kuliko jengine hii ni tofauti na Crub, wao miguu/magando yao yapo sawa!
...
Wanapatikanaje?
Nenda baharini/pwani/ufukweni, wakati maji yametoka, [maji ya bahari hujaa na kutoweka] hao wadudu wanaishi kwenye vishimo, maji yakitoka wanakua wanakula upepo na kuinjoi juu mle!
...
Utawakamataje?
Aisee wale wadudu hawachezi mbali na vishimo/vidimbwi vyao, na ni waoga sana ukiwasogelea tu wanazama vishimoni mwao!
Cha kufanya ili uwanase kabla haujawafikia vizuri [umbali wa kama futi 10] shukua mchanga, warushie kwa nguvu, halafu wafate fasta na uanze kuwaokota, ukiremba sana huwezi kuwapata or utawapata kidogo!
...
Eiyer, Excel tunaomba picha kama uwezekano upo! Kama hamna niitieni Tyta!

Asante sana nitawatafuta .
 
Mkuu, tatizo kama hilo alikuwanalo mdogo wangu! Tulihangaika sana Mahospitalini! Mwisho wa siku kunamzee alituambia dawa yake, na dogo amekapona fresh tu!
...
Dawa yenyewe ni:
kuchemsha wale kaa wadogo wadogo wa baharini! unamchemshia afu unampa supu yake, kutwa mara mbili, fanya hivyo hadi apone! Mdogo wangu alichukua wiki tatu mpaka nne kupona kabisa!
...
Kaa waliokusudiwa hapo, sio wale kaa wakubwa/Crub! Hao ni wadogo na hawawezi kuwa wakubwa kama Crub! Kwa kawaida guu/gando lake moja linakuwa kubwa kuliko jengine hii ni tofauti na Crub, wao miguu/magando yao yapo sawa!
...
Wanapatikanaje?
Nenda baharini/pwani/ufukweni, wakati maji yametoka, [maji ya bahari hujaa na kutoweka] hao wadudu wanaishi kwenye vishimo, maji yakitoka wanakua wanakula upepo na kuinjoi juu mle!
...
Utawakamataje?
Aisee wale wadudu hawachezi mbali na vishimo/vidimbwi vyao, na ni waoga sana ukiwasogelea tu wanazama vishimoni mwao!
Cha kufanya ili uwanase kabla haujawafikia vizuri [umbali wa kama futi 10] shukua mchanga, warushie kwa nguvu, halafu wafate fasta na uanze kuwaokota, ukiremba sana huwezi kuwapata or utawapata kidogo!
...
Eiyer, Excel tunaomba picha kama uwezekano upo! Kama hamna niitieni Tyta!

Mashaxizo, salute mkuu, nilikuwa kidogo nianze kumwelezea. Yaani ni dawa tosha. Cha msingi awaoshe vizuri na kuchemsha na kumpa supu. Kwa upande wangu ninajua pia kama unawakausha kwa kuwakaanga katika chombo katika mkaa au kuweka katika grill ya umeme wanakauka kabisa, unawasaga au kutwanga kama huna mashine zile ndogo za kusaga, halafu unga wake unachanganya katika maji ya moto kiasi unampa. Kwa kuwa ni mdogo nusu kijiko cha chai cha unga kinatosha kutwa mara tatu. Pia akimaliza dose na kama imekaa sawa ninamshauri tena gumboot achukue jani moja la alovera fresh, (alioshe likiwa katika shina ili lisipoteze ule ute wake), likate lote vipande vidogovidogo, weka ndani ya sufuria chemsha (sharti jiko la mkaa au kuni na siyo umeme), maji weka glass nne zichemke hadi zibaki mbili. Kisha epua, acha ipoe, chuja kwa chujio weka chombo kisafi, weka vijiko vikubwa viwili vya kulia chakula mezani vya asali ya nyuki wadogo (wasiouma). Mpe mtoto kijiko kidogo cha chai kutwa mara tatu. Angalizo. Hifadhi sehemu safi na si kwenye friji (haiharibiki), kijiko cha kunyea ni hicho tu na kisitumike na mtu/mtoto mwingine (i.e no sharing ya kijiko cha dawa hata kama wanatumia zaidi ya mmoja).
 
Mashaxizo, salute mkuu, nilikuwa kidogo nianze kumwelezea. Yaani ni dawa tosha. Cha msingi awaoshe vizuri na kuchemsha na kumpa supu. Kwa upande wangu ninajua pia kama unawakausha kwa kuwakaanga katika chombo katika mkaa au kuweka katika grill ya umeme wanakauka kabisa, unawasaga au kutwanga kama huna mashine zile ndogo za kusaga, halafu unga wake unachanganya katika maji ya moto kiasi unampa. Kwa kuwa ni mdogo nusu kijiko cha chai cha unga kinatosha kutwa mara tatu. Pia akimaliza dose na kama imekaa sawa ninamshauri tena gumboot achukue jani moja la alovera fresh, (alioshe likiwa katika shina ili lisipoteze ule ute wake), likate lote vipande vidogovidogo, weka ndani ya sufuria chemsha (sharti jiko la mkaa au kuni na siyo umeme), maji weka glass nne zichemke hadi zibaki mbili. Kisha epua, acha ipoe, chuja kwa chujio weka chombo kisafi, weka vijiko vikubwa viwili vya kulia chakula mezani vya asali ya nyuki wadogo (wasiouma). Mpe mtoto kijiko kidogo cha chai kutwa mara tatu. Angalizo. Hifadhi sehemu safi na si kwenye friji (haiharibiki), kijiko cha kunyea ni hicho tu na kisitumike na mtu/mtoto mwingine (i.e no sharing ya kijiko cha dawa hata kama wanatumia zaidi ya mmoja).

gumboot dawa ndio hizo! Tunakutakia kila la heri!
...
Mkuu Zogwale ile dawa ya vidudu ni tam sana! Nakumbuka baada ya kumpa dogo supu vile vidudu nilivila! Teh teh teh!
 
gumboot dawa ndio hizo! Tunakutakia kila la heri!
...
Mkuu Zogwale ile dawa ya vidudu ni tam sana! Nakumbuka baada ya kumpa dogo supu vile vidudu nilivila! Teh teh teh!

Ha ha ha mkuu, kwa wenzetu wala konokono nao wanakula kaa kabisa na wanasifia ni tamu sana!!! Kudadeki, mimi sijui kama ingeshuka kooni!!! sema ili kumtia dogo moyo ilibidi na nyie mle!!!! Imagine hata Lobster mimi nilikuwa siwataki kabisa, hadi leo huwa siwahusudu japo ni expensive sana.
 
Back
Top Bottom