mbiligenda
Member
- Dec 3, 2015
- 87
- 48
Habari za asubuhi wapendwa,
Nimeamka nikiwa na maumivu makali sana kwenye sikio la upande wa kushoto,nimejaribu kutoa uchafu lakini maumivu bado yanaendelea,kabla sijaenda kwenye kituo cha huduma ya afya,mwenye utaalam kidogo anisaidie hata kwa ushauri,dawa au huduma ya kwanza,karibuni!
inawezekana una infection kwenye sikio, kuna ear drops zinaitwa sodium bicarbonate eardrops jaribu kutumia zitatibu hilo tatizo ila kwa ushauri zaidi fika kwa daktari.
Sikio ni kiungo sensitive sana usichokonoe na chochote wala kuweka dawa yoyote nenda hospital mapema kamuone mtaalamu wa masikio waangalie kuna nini ndani upewe dawa kwa dar es salaam AAR posta au magomeni karibu na kwa shekh yahaya nilitibiwa hapo kama upo dar es salaam