Majita
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 609
- 191
Ndugu wana bodi nina maswali mawili naomba mnisaidie,
1.Nililala na msichana ikiwa ni siku ya 7 baada ya kuanza mzunguko wake na akapata ujauzito pia msicha huyo huyo nililala nae iliwa ni siku ya 18 baada ya kuanza mzunguko wake pia akapata ujauzito. Je hii inatokana na nini au ndo nilikuwa nasingiziwa mimba ambazo sio zangu.
2.Kwa nini mwanamke anaweza kutoka damu akiwa mjamzito mimba ya miezi chini ya 3 na nini chanzo chake(sababu) na madhara yake ni yapi
1.Nililala na msichana ikiwa ni siku ya 7 baada ya kuanza mzunguko wake na akapata ujauzito pia msicha huyo huyo nililala nae iliwa ni siku ya 18 baada ya kuanza mzunguko wake pia akapata ujauzito. Je hii inatokana na nini au ndo nilikuwa nasingiziwa mimba ambazo sio zangu.
2.Kwa nini mwanamke anaweza kutoka damu akiwa mjamzito mimba ya miezi chini ya 3 na nini chanzo chake(sababu) na madhara yake ni yapi