Msaada wa kibenki

Rabiel

Senior Member
Joined
Jul 20, 2013
Posts
197
Reaction score
40
Habari wanajamvi

Kuna vijidola nilikua nataka nitumiwe but nimeshindwa namna ya kutumiwa kwa njia ya bank. Kuna sehemu imeandikwa enter credit card number, nikaingiza namba za card yangu ya bank.
Sasa sijaelewa hapo, nisaidieni wanandugu.
 
ilikataa sasa sjui hyo credit card ndo nini
 
Kadi yako ya benki ni Credit Card au Debit Card? Benki karibu zote hapa Tz hazijaweza kuanzisha mfumo mzuri wa Credit card. Nakushauri uwasiliane na benki yako watakushauri njia bora ya kupokelea fedha yako. Kwa uzoefu wangu Westen Union ni njia nzuri na convenient!
 
Halafu kuwamakini isijekuwa hivo vidola unatumiwa na wale jamaa wa mitandao. Hapo wanaweza.pata access ya account yako na information zakutosha. Just an alart
 
Habari wanajamvi
kuna vijidola nilikua nataka nitumiwe but nimeshindwa namna ya kutumiwa kwa njia ya bank
kuna sehemu imeandikwa enter credit card number,nkaingiza namba za card yangu ya bank
sasa cjaelewa hapo
nisaidieni wanandugu

Mkuu japo sina uhakika na unachotaka kufanya ila naona kama kuna harufu ya utapeli. Hasa kama hizo taarifa unazijaza online. Matapeli wengi sana siku hizi, hakikisha uatoa taarifa zako kwa watu sahihi.
 
What I know ni kwamba western union is the best way for money transaction all over the world
 
thanks kwa ushauri
hakika nimeupokea
 
Mkuu japo sina uhakika na unachotaka kufanya ila naona kama kuna harufu ya utapeli. Hasa kama hizo taarifa unazijaza online. Matapeli wengi sana siku hizi, hakikisha uatoa taarifa zako kwa watu sahihi.
Mkuu japo sina uhakika na unachotaka kufanya ila naona kama kuna harufu ya utapeli. Hasa kama hizo taarifa unazijaza online. Matapeli wengi sana siku hizi, hakikisha uatoa taarifa zako kwa watu sahihi.
dah asante sana kwa ushauri mzuri,nilicheza lotto
 
Halafu kuwamakini isijekuwa hivo vidola unatumiwa na wale jamaa wa mitandao. Hapo wanaweza.pata access ya account yako na information zakutosha. Just an alart
asante kwa positive ushauri
 
mwambie anaekutumia akutumie TT. tu.. hiyo ndio njia kuu ya kutuma hela nyingi..

kama hela ni kidogo sana atumie western union
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…