Wadau naomba kujua raisi ana kinga gani ya kutokushtakiwa kwa mujibu wa katiba akiwa madarakani sheria inasemaje najaribu kutafakari vipi wakati mkapa kaenda kutoa ushaidi mahakamani wakati wa kesi ya prof mahalu ilikuwa sahihi au
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.