N nicetas JF-Expert Member Joined May 29, 2012 Posts 329 Reaction score 181 Jul 26, 2016 #1 Wadau naomba kujua raisi ana kinga gani ya kutokushtakiwa kwa mujibu wa katiba akiwa madarakani sheria inasemaje najaribu kutafakari vipi wakati mkapa kaenda kutoa ushaidi mahakamani wakati wa kesi ya prof mahalu ilikuwa sahihi au
Wadau naomba kujua raisi ana kinga gani ya kutokushtakiwa kwa mujibu wa katiba akiwa madarakani sheria inasemaje najaribu kutafakari vipi wakati mkapa kaenda kutoa ushaidi mahakamani wakati wa kesi ya prof mahalu ilikuwa sahihi au
A amos stima Member Joined Jul 10, 2016 Posts 64 Reaction score 62 Aug 1, 2016 #2 Ibra ya 46(1 ) ya katiba inampa rais kinga ya kutoshitakiwa akiwa madarakani.......
666 chata JF-Expert Member Joined Mar 14, 2013 Posts 1,700 Reaction score 3,921 Aug 2, 2016 #3 Wakuu mwenye kesi yoyote ya hospitali tafadhali anisaidie hata jina tu, hasa hizi za kuvujisha taharifa za wagonjwa "disclosure of patient records".
Wakuu mwenye kesi yoyote ya hospitali tafadhali anisaidie hata jina tu, hasa hizi za kuvujisha taharifa za wagonjwa "disclosure of patient records".