Kilimo Cha Michikichiki Hakina Gharama Mkuu!
Mwaka Wa Kwanza, Kama Unalo Shamba, Tafuta Mtu Umpe Alime Bure, Na Apande Mahindi, Maharage, Karanga, E.t.c! (hapa Kijijini Kwetu, Watu Wanahitaji Sana Maeneo Ya Kulima, Hata Kwa Kukodi, Ila Wenye Mashamba Hawayatoi, Ubinafsi Tu). Hivyo Basi, Ukimpa Mtu Alime Shamba Lako, Kwanza Umepunguza Gharama Za Kuliandaa Shamba Lako.