ndala fupi
Member
- Dec 1, 2018
- 5
- 4
Kwa kilimo cha mpunga kitakufaamm nna mtaj wa 650000 je nlikua naomba mnijuze kilimo gan kwa bei hyo itafaa au ni
kama kuna biashara ingine nzur inayolipa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilimo cha mpunga wapi huko kina bei rahisi hvo ??
Mimi nina mtaj wa 650000. Je nlikua naomba mnijuze kilimo gani kwa bei hiyo itafaa? au
kama kuna biashara nyingine nzuri inayolipa.
Mpunga ndo utakufaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nina mtaj wa 650000. Je nlikua naomba mnijuze kilimo gani kwa bei hiyo itafaa? au
kama kuna biashara nyingine nzuri inayolipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
ntapata wp maeneo mazur mm npo dar na hio bei ya pump nchj 2 pamoja na mbegu mpka kuvuna itatosha kwa hio ela kwelTafuta eneo lenye chanzo cha maji tafuta pump inch mbili pamoja na mpira wake tafuta mbegu ya bamia aina ya royal anza kulima, hautojuta ndugu maana bamia ni siku 75 tu baada ya kupanda
Sent using Jamii Forums mobile app
ntapata wp maeneo mazur mm npo dar na hio bei ya pump nchj 2 pamoja na mbegu mpka kuvuna itatosha kwa hio ela kwel
Sent using Jamii Forums mobile app
mi mwnafunz chuo na npo kawe ila kama mda wa kutembelea shamba ntakuepo nao ila kushinda ntaweza kasoro tu kulala hko mm npo kawe damUpo Dar sehem gani na je una muda wa kutosha kukaa eneo la kilimo, kutosha itatosha ila tu inabidi ulime bamia au nyanya chungu kwa heka.
Sent using Jamii Forums mobile app