Msaada wa kilimo

ALOYCE MPANDANA

Senior Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
172
Reaction score
58
Samaani wadau kwa wanaojua kilimo nikiwa na lak tano naweza kulima kilimo gan..tafahali naombeni majibu toka kwenu
 
Una ardhi????!!!!
Iko katika hali gani???? Shamba au msitu???!!!
Nini unalenga kufanya????!!
Uko wapi???!!!
Mazao gani yanalimwa kwa wingi hapo ulipo???!!!
Nini kinahitajika sana hapo ulipo????!!!
 
Mijini mboga mboga bado zina soko ila.kilimo sio pesa tu unatakiwa kufanya survey ya masoko kiasi wanachotaka, ubora then unaweza anzia hapo au kuuza kwa wamama wanaouza sokoni au kupata seh emu ya kupeleka kwa order!!!!!

Pita Kariakoo sokoni kuna maduka ya mbegu unaweza pata picha juu ya bei za mbegu kama za hoho,nyanya n.k!!!!!!

Kuhusu kukodi ardhi hapo inategemea na ukubwa, ubora na upatikanaji wa maji hapo unapoweza kuweka project yako!!!! Je hapatahitaji mbolea???!!

Je unahudumia mwenyewe hiyo project au utahitaji msaidizi pia??!!!!

Vipi kuhusu spraying pump,watering cans au hose???!!!


Hapo unaweza pima nguvu ya huo mtaji kama utatosha au la!!!!
 
Nataka niweke kijana swala la maji halna shida kwani nataka nileme kigambon ndani kama unataka kutokea mkuranga
 
Nataka niweke kijana swala la maji halna shida kwani nataka nileme kigambon ndani kama unataka kutokea mkuranga

Mkuu bila shaka wewe ni mtumishi na huna muda wa kutosha kuweza kuhudumia hilo shamba. Kwakuwa unainject mtaji mdogo na unahtaji kuukuza kupitia huo mladi kwa kujihusisha directly wewe mwenyewe. Hapo ungepata wasaa wa kujifunza vizuri changamoto za shamba, vipaumbele n.k kulingana na zao utakalopanda.
Nachelea kukwambia kwamba bado hujajipanga vizuri kuzama kwenye kilimo na kuna uhalisia kuwa ikitokea kwamba hiyo 500k ikashindwa kukuzalishia hutarudia tena kulima na pengine kukichukia kabisa kilimo.
Ninacho cha kukushauri ndg yangu kama utakuwa tayari kunisikiliza ili uendelee kukipenda kilimo na hatimae ukazamia moja kwa moja kwenye kazi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…