Joyce wohwoh
Member
- Sep 17, 2021
- 80
- 185
AsanteWasiliana nao kuhusu tarehe kupitia njia uliyotumia mwanzo, Wakileta story nyingi Bora uangalie upande mwingine
Imetumwa leo,nahisi wataireport account yangu kwamba ni tapeli.Invoice umetumiwa lini...?
Wakureport wapi;?
Hakunaga biashara ya hivi ya kulazimishana,wanakutisha tu.Imetumwa leo,nahisi wataireport account yangu kwamba ni tapeli.
Umewatapeli nn....?Imetumwa leo,nahisi wataireport account yangu kwamba ni tapeli.
Hapana,wamenitumia message hii,please note we might suspend your account if you do not pay your order by the due date.Umewatapeli nn....?
Hao ni matapeli achana naoHapana,wamenitumia message hii,please note we might suspend your account if you do not pay your order by the due date.
Wapigie upesi DP World watakutatulia.Wanajukwaa naombeni msaada kwenye hili,nimeagiza gari japan na nimetumiwa profoma invoice na details za kibank kwa ajili ya kulipia inasema tarehe ya mwisho kulipa ni tarehe 9/8/2023 kwa saa za japan.Nimekwama hapa bank nnayotumia mimi leo nanenane hawafungui inamaana mpaka kesho ndo wanafungua,na japan wako mbele masaa yao zaid yetu,nahsi ntakuwa nje ya mda.nifanyeje? Niwaambie waniongezee muda?na wamesema nisipolipa mpaka tarehe walotoa watanireport naombeni ushauri wenu wazoefu
Wanajukwaa naombeni msaada kwenye hili,nimeagiza gari japan na nimetumiwa profoma invoice na details za kibank kwa ajili ya kulipia inasema tarehe ya mwisho kulipa ni tarehe 9/8/2023 kwa saa za japan.Nimekwama hapa bank nnayotumia mimi leo nanenane hawafungui inamaana mpaka kesho ndo wanafungua,na japan wako mbele masaa yao zaid yetu,nahsi ntakuwa nje ya mda.nifanyeje? Niwaambie waniongezee muda?na wamesema nisipolipa mpaka tarehe walotoa watanireport naombeni ushauri wenu wazoefu
Real motor japan.wameniambia if you do not pay by the due date hiyo tarehe 9 we will suspend your account.Hakuna kitu kama hicho
Mimi nmeagiza gari miezi miwili iliyopita SBT
Hakuna sehemu nlifosiwa kulipa,
Wao usipolipa wanarudisha gari sokoni basi
Ni kampuni gani iyo??
Nashauri usifanye haraka kulipa!!!!!!
Jiridhishe upya!!!
Waangalie vizuri maana inawezekana wao ndio matapeli. Wafanyabiashara wa uhakika hawatoi vitisho vya aina hii ili kulazimisha kulipwa. Watakushitaki vipi kwa utapeli wakati gari bado wanalo? Uwe mwangalifu usiumizwe.Imetumwa leo,nahisi wataireport account yangu kwamba ni tapeli.
Sawa fundi itabidi nifatilie account ya bank walonitumia kama ni yao kweli.Waangalie vizuri maana inawezekana wao ndio matapeli. Wafanyabiashara wa uhakika hawatoi vitisho vya aina hii ili kulazimisha kulipwa. Watakushitaki vipi kwa utapeli wakati gari bado wanalo? Uwe mwangalifu usiumizwe.
Amandla...
Matapeli hao usitume hela ndugu yangu. Tulia kwanza wameshakuweka katiHapana,wamenitumia message hii,please note we might suspend your account if you do not pay your order by the due date.
Real motor japan.wameniambia if you do not pay by the due date hiyo tarehe 9 we will suspend your account.
Kwa ushauri tumia SBT au BEFORWAD mimi nakumbuka niliomba Mhindi aniongezee siku 3 mbele na huwa ni waelewa na kabla ya hapo nisha reserve sana gari hadi due date inapita na wala silipi na sijakuwa reported kokote kuwa makini boss tuliza akili unapotaka kufanya malipo na unapochagua gari katika hizo website.
Nakumbuka nilishaikagua gari kwenye picha ni kali ila nikasema hapa nahitaji kujiridhisha zaidi nikamtafuta Mhindi nikamuomba picha na nikamwambia niambie ukweli kama ina dents au scratch yeyote nipe taarifa mapema ni kweli jamaa akaniambia na akatuma picha ambayo inaonyesha scratch ila ukiangalia kwenye website hakuna hiyo picha.
N.B; Omba picha kutoka nje ya website yaani kupitia whatsapp namba zao na waambie wakwambie ukweli kuhusu changamoto yeyote ya hiyo gari usiwe na haraka ya kulipa.
Shukrani mkuu kwa mawazo,japo nimekata tamaa kabisa ya kuagiza hakuna dola kwenye bank zote na hawakubali TT transfer toka asubuh natafuta imebidi sasa nirudi tu home kusubiri itakuwaje naombeni ushauri.nasikia beforward unaweza lipa kwa Tz shillings kwenye account yao ya Tz?Sahihi kabisa
Rule no1.Usiwe na haraka
Mimi ilichukua 6working days kupata chuma nayotaka
-leather seats
-memories heated seats
-sports rims
-body kits
-low mileage
-and cheap prices[emoji23]
Nlikomaa na mjapan mpk akanipa tricks
Mojawapo akanambia achana na hizi zilizopostiwa
Kila alhamis kuna auctions tunachukua gari mnadani
So by ijumaa/jmosi tunazipost akanipa na muda akasema pale utapata bei rahisi na huwa hazikai kabisa
Kweli bana
Nlishaangaa tu Chuma 2 zmekuja tena hata picha hazifunguki vizuri lkn details mulemule nka-reserve chap
Usikurupuke take your time usiogope kumuuliza mjep