Msaada wa kimawazo nataka kujiendeleza kimasomo au kufanya Biashara

Msaada wa kimawazo nataka kujiendeleza kimasomo au kufanya Biashara

nanonya

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
238
Reaction score
388
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 26 nimeajiriwa katika kampuni moja mjini dar nina degree ya IT n' not married,
naomba msaada wa kimawazo coz nataka kujiendeleza kimasomo au kufanya Biashara au vyote.

1)kujiendeleza kimasomo

kazini naingia 2:30 asubuhi na kutoka saa 11:30 jioni kila siku kasoro weekend,
je naweza kusoma wapi na course gani unadhani ni nzuri kutokana na hali ya Nchi yetu ilivyo
ktk swala la ajira na muda wangu je ntaupangilia vp?.

note:naweza kusoma online as you advice

2)Kufanya biashara...
kutokana na ajira na hali ya maisha ilivyo ngumu hapa Dar from mshahara naweza kusave laki 4 tu kwa mwezi na kiasi hiki ni kidogo sana.
vp unanishauri nifanye biashara gani na ukizingatia muda wangu wa kuingia kazini 2:30 asubuhi na kutoka saa 11:30 jioni
kila siku kasoro weekend
3)wewe unashauri vp kuhusu kusoma na kujiingiza kwenye biashara vyote kwa pamoja.
Ahsante na Mungu akubariki.
 
Kaka umejieleza vizuri saaana,very impressive

Mie nakushauri fanya vyote,soma na fanya biashara.
Na kwanza nikupongeze kwanza Degree yako ya mwanzo ya IT ndio ilikuweka sokoni,maana ulisoma kwa malengo na kuangalia soko liliko,Hongera sana kwa hilo.Maana siku hizi wengi husoma kwa jinsi wanavyotaka na sio soko linavyowahitaji,mwisho wa siku watu wanalia ajira hakuna.

Pili kuweza kusave laki 4 kwa mwezi ni pesa nyingi sana kwa Dar na maisha yetu,faham kwamba kwa binaadam hakuna pesa inayomtosha,leo hata ukipewa milioni kumi utataka uongezewe laki tano,muhim ni kujitambua.Hiyo laki 4 kwa wenzio ni mtaji mkubwa sana,ukitaka kujua hili fanya research kwa mamalishe,uone mtaji wao na pesa ndefu wanayoingiza kwa mwenzi.
Na sio siri naona signs za wewe kuwa mtu mwenye mafanikio makubwa sana in comming 4 yrs kama ukiwa na nidham ya pesa na kukubali kushaurika nakuwa wazi namna hii.

Nikija kwenye Kusoma.
Bado IT ipo kwenye soko vizuri sana,ningekushauri uongeze Masters yake.

Alternative,nenda Pale SUA(Sokoine University of Agriculture),
Piga
Bsc. (Agricultural Economics and Agribusiness) – kata miaka mitatu

Ukitoka hapo unajiajiri mwenye kiulaini bila kumkera mtu.
Maana nikikuambia nitafutie mtu aliemaliza SUA mwenye Degree hiyo ambae hana kazi ya kujiajiri au kuajiriwa utakesha,na ukimkuta basi ujue anamatatizo yake binfasi na Jiji limemkolea.
 
kk nakushauri Anza na biashara kwanza kusoma kupo tu ..cha msingi jihakikishie inflow ya money kwanza mengne baadae
 
Kaka umejieleza vizuri saaana,very impressive

Mie nakushauri fanya vyote,soma na fanya biashara.
Na kwanza nikupongeze kwanza Degree yako ya mwanzo ya IT ndio ilikuweka sokoni,maana ulisoma kwa malengo na kuangalia soko liliko,Hongera sana kwa hilo.Maana siku hizi wengi husoma kwa jinsi wanavyotaka na sio soko linavyowahitaji,mwisho wa siku watu wanalia ajira hakuna.

Pili kuweza kusave laki 4 kwa mwezi ni pesa nyingi sana kwa Dar na maisha yetu,faham kwamba kwa binaadam hakuna pesa inayomtosha,leo hata ukipewa milioni kumi utataka uongezewe laki tano,muhim ni kujitambua.Hiyo laki 4 kwa wenzio ni mtaji mkubwa sana,ukitaka kujua hili fanya research kwa mamalishe,uone mtaji wao na pesa ndefu wanayoingiza kwa mwenzi.
Na sio siri naona signs za wewe kuwa mtu mwenye mafanikio makubwa sana in comming 4 yrs kama ukiwa na nidham ya pesa na kukubali kushaurika nakuwa wazi namna hii.

Nikija kwenye Kusoma.
Bado IT ipo kwenye soko vizuri sana,ningekushauri uongeze Masters yake.

Alternative,nenda Pale SUA(Sokoine University of Agriculture),
Piga
Bsc. (Agricultural Economics and Agribusiness) – kata miaka mitatu

Ukitoka hapo unajiajiri mwenye kiulaini bila kumkera mtu.
Maana nikikuambia nitafutie mtu aliemaliza SUA mwenye Degree hiyo ambae hana kazi ya kujiajiri au kuajiriwa utakesha,na ukimkuta basi ujue anamatatizo yake binfasi na Jiji limemkolea.


Thanks much mkuu kwa ushauri wako mzuri sana.
ntaufanyia kazi n' stay blessed.
 
Kama ni mwalimu kasome ila kama ni coder au systm admin bora ufanye biashara tu coz hizo kazi hata ukiwa na degree bado unaweza pata shavu refu ukiwa na qualifications nzuri. Bora hata usome certifications kama ccna,mcsa,lpi,itil,n.k kuliko masters. Just suggestions ila the choice is yours.
 
Kuweka laki nne ni ufaulu mzuri sana. Mim nashindwa kuweka hizo laki nne. Fanya business uongeze kipato
 
Kuweka laki nne ni ufaulu mzuri sana. Mim nashindwa kuweka hizo laki nne. Fanya business uongeze kipato

Wengi wamekushauri ila hawakufika nilikoona mm.Mm nakushauri kasome achana na biashara kwa sasa ili uweze ku~concetrate kwenye masomo.

Kozi ya kusoma inategemea ww unataka mambo gani au unataka kuwa nani.

Ila ukingalia trend ya nchi yetu kwa mapana yake nakushauri tafuta kozi yeyote hata km ni ngazi ya Cheti inayohusu gesi na mafuta.kuna mashirika na wadau mbalimbali wanatoa kozi hizo wewe soma ukiunganisha na utaalam wako wa IT utakuwa mtamu sn wakati tunasherehekea mafanikio ya gesi na mafuta wewe utakuwa unasherehekea mafanikio yako.Utakuja kunikumbuka. Km huamini anza kufuatilia jinsi sekta hiyo inavyokua hapa nchini.
 
Back
Top Bottom