Hivi inawezekana kweli nikatumia provisional result kuingia jeshin,Kwan kwa tarifa za kipaparaz mwez wa 12 nafas za profesional jeshin zaweza kutoka na mimi nikiwa namaliza chuo mwaka huu! Msaada wa kimawazo wa jf! Thanks.
Hivi inawezekana kweli nikatumia provisional result kuingia jeshin,Kwan kwa tarifa za kipaparaz mwez wa 12 nafas za profesional jeshin zaweza kutoka na mimi nikiwa namaliza chuo mwaka huu! Msaada wa kimawazo wa jf! Thanks.
Mkuu,maombi yoyote ya serikalini provisional result haikubaliwi lakini unaweza omba kwa sifa ulizonazo result ikitoka utawajulisha viongozi wao watahifanyia kazi.