Habar zenu wana jf mm nimtanzania naish South Africa, shida yangu kubwa naitaji kufahamu jins ya kufungua account bank, ya Visa bank sijawah milk akaunt yeyote...nafkilia kufungua account lakin sjui proses na pia naitaji kujua endapo nitafungua acount like VISA haitanipa usimbufu mda wakutoa mkwanja endapo labda naitaji kurud nyumbn ama kuendelea na safar zangu nirizo zopangiria.