Msaada wa kimawazo

Msaada wa kimawazo

Joined
Jun 18, 2012
Posts
58
Reaction score
5
Kuna mdogo wangu anataka kufanya kazi ya kuuza duka la dawa (famasia) sasa ameambiwa hadi asome nursing attendant then akachukue short kozi ya TFDA sasa tatizo cheti chake cha kidato cha Nne hajafahuru masomo ya sayansi. Na kila chuo wananiambia wanataka pass marks za science. Naomba msaada wenu wanajamii forum. Mayb kunachuo kinatoa Pre_nursing Or' access course?
 
Kuna mdogo wangu anataka kufanya kazi ya kuuza duka la dawa (famasia) sasa ameambiwa hadi asome nursing attendant then akachukue short kozi ya TFDA sasa tatizo cheti chake cha kidato cha Nne hajafahuru masomo ya sayansi. Na kila chuo wananiambia wanataka pass marks za science. Naomba msaada wenu wanajamii forum. Mayb kunachuo kinatoa Pre_nursing Or' access course?

Daa! mkuu mwambie aje Tanga wilaya ya korogwe ktk hospitali ya Misheni so wanatoa koz hiyo ya nursing attendant for one year jaribu anaweza wakamkubali kusomea bt for mor explanation or aid just find me my no.0766848077 by tin lov from tanga!!
 
Back
Top Bottom