NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
ki dini ya kiislam ndoa ni ile waliozeshwa na shekh mwanamme masjid baaass,,,, nijuavyo mimi katika dini niliokuwa,,,yaani we hata uweke nukta tu mi hoi! :focus:mwanamume na mwanamke wakiishi pamoja ndani ya miezi sita si ndoa tayari hiyo?
jimama lenyewe liwe na mipesa na liwe tayari kuwa heartbreaked anytimemh 45 sasa ndugu mahusiano yasiwepo atampat huyo mwengine???? allahu yaalamm,,,,maybe she can bcouse vijana wa sasa wanatafuta majimama wenyewe,,, all dah best inshaallah!!
asanteni sn mnazdi kunijengea capacity ya kumu advice huyo dada. Upande wa pili si rahc kupata maelezo manake cna hakika km huyo bwan shem ni member wa great thinkers. Na kama yupo hope atajimwaya mwaya hapa
Kuna rafiki yangu ambae amezaa na mwanaume, mtoto anamiaka mi 3 sasa, mahusiano yao yanamiaka mitano. Mpk leo huyo mwanaume hajasema chochote khs ndoa japo huyo dada sn anafahamika upande familia ya mwnaume. Ila mwanaume hafahamki sn upande wa ukeni, mwanaume anawatoto wa2 wakubwa tu. He is now 43 yrs. Juzi kati wametofautiana na mwanamke kaamua kumuacha. Ila bado anampenda anaomba ushauri ktk kpnd hk kuelekea mwak mpya, abaki na donge la hasira moyoni, au amsamehe lkn mahusiano yasiwepo?
jimama lenyewe liwe na mipesa na liwe tayari kuwa heartbreaked anytime
............kugombana ni sehemu ya mapenzi,tena hasa wakati huu wa kufunga mwaka,amsamehe warudiane na kujenga familia...........
jimama lenyewe liwe na mipesa na liwe tayari kuwa heartbreaked anytime
husitulazimishe tuamini aina ya maisha unayoishi na mpenzio............kugombana ni sehemu ya mapenzi,tena hasa wakati huu wa kufunga mwaka,amsamehe warudiane na kujenga familia...........
Ndioookumbeee,,,,,,
there you go...time heals everythingKuna rafiki yangu ambae amezaa na mwanaume, mtoto anamiaka mi 3 sasa, mahusiano yao yanamiaka mitano. Mpk leo huyo mwanaume hajasema chochote khs ndoa japo huyo dada sn anafahamika upande familia ya mwnaume. Ila mwanaume hafahamki sn upande wa ukeni, mwanaume anawatoto wa2 wakubwa tu. He is now 43 yrs. Juzi kati wametofautiana na mwanamke kaamua kumuacha. Ila bado anampenda anaomba ushauri ktk kpnd hk kuelekea mwak mpya, abaki na donge la hasira moyoni, au amsamehe lkn mahusiano yasiwepo?
Kuna rafiki yangu ambae amezaa na mwanaume, mtoto anamiaka mi 3 sasa, mahusiano yao yanamiaka mitano. Mpk leo huyo mwanaume hajasema chochote khs ndoa japo huyo dada sn anafahamika upande familia ya mwnaume. Ila mwanaume hafahamki sn upande wa ukeni, mwanaume anawatoto wa2 wakubwa tu. He is now 43 yrs. Juzi kati wametofautiana na mwanamke kaamua kumuacha. Ila bado anampenda anaomba ushauri ktk kpnd hk kuelekea mwak mpya, abaki na donge la hasira moyoni, au amsamehe lkn mahusiano yasiwepo?