Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
Uuuuwiii thats me! Yaani yote uliyoyasema ni kama yangu!I enjoy being alone or with few people wasizid wawili tena ninaowakubali sio kujichanganya changanya hovyo hovyo,nkishamsalimia mtu basi kila mtu ashike hamsini zake sitaki kujua mambo ya mtu na sitaki mtu kunijua jua unless nijisikie mwenyewe
Hata mie siweki kitu moyoni mtu akizinguaKweli kuka peke ako aimanishi ujiamin au unogopa au unaona aibu la hasha!mi bana sina aibu n wala siogop tena linapokuja suala la kunikwaza au nikuambie ukwel kuhusu jambo ambalo naliona haliko poa.. Wee lazma utashngaa ndo huyu anayekaaga kimya au! ....nakupa makavu yako tu den story zinaendelea
namba3 ipi sasa?
Mi hata mtu akitaka urafiki siukubali, mpaka niuanzishe mimi.
Watu wenyewe hawaeleweki then ukae unafuatanafuatana na mtu ambaye zaidi atakupotezea muda wako. Hata sasa niko mwenyewe nyumbani kimya. Mtu akipita nje ya geti anaweza dhania hakuna mtu.
Kuna faida nyingi za kuwa hivi ingawa hasara yake naona ni UCHOYO na KUJIONA KUWA UKO SAHIHI KWA KILA JAMBO maana mtu unakuwa umezoea KUWA mwenyewe mwenyewe KWA MUDA MREFU.
Mkuu tunaendana sana mimi mpaka nyumbani huwa hawnielewi ila ndo niko hivyo niko kama wewe , sitaki ujinga ujinga nikiona watu wanaongea au kufanya mambo nisiyoyaapreciate naondoka naenda kukaa mbaliNami mmoja wapo..sipendi kelele kabisa yani nikikaa sehemu nikaona watu wanapiga story ambazo hazinipi faida yoyte ile lazima ntanyanyuka maana mwisho wa siku tutaishia kusengenya...napenda sana nikiwa peke angu hata kwenye swala la kuangalia movie basi niangalie mwenywe au kama yupo mtu pemben yangu basi mawazo yetu yawe pamoja..sio mim nasikitika au nachka kuhusu movie we unaaza maswal unacheka nin!!....pia nadhan inanisaidia kuepuka na vitu vingi tu mfano ugomvi au marumban yasonatija...napenda kukaa peke angu nikiangalia movie..kusoma vitabu au kupeluzi kwa simu ili kujua nin kinaendelea dunia..lakin ukinifta nilipo na tukapiga story mdgomdgo hapo sawa ..ila tu usiwe mtopokaji wa ovyo!!....KUPITIA IVYO NAJIONA MWENYE FULAHA NA AMANI KULIKO KUKAA NA WATU WENGI ALAFU WAKAICHOSHA AKILI YANGU
Ni tatizo & litakuwa limeanzia utotoni, atakuwa na tabia ya uoga, kutojiamini etc
Sifa zetu ni hizi
1 ni vigumu kuwa chama cha CCM
2 atuendiendi kwenye nyumba za ibada
3 atupendi mambo ya kinafiki
4 ufikili kwa kutumia akili
5 atupendi kusumbua mtu wala kusumbuliwa
6 atupendi kujionyesha kipumbavu
Hata ni baadhi tu