Msaada wa kisaikolojia: Sijiskii kuwa kwenye mahusiano kabisa

Msaada wa kisaikolojia: Sijiskii kuwa kwenye mahusiano kabisa

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Habari wana JF. Mimi ni ME wa humu JF. Tatizo langu kubwa, nimepoteza hamu kabisa ya watoto wa kike. Ninapokuwa karibu yao ndo napata muwashawasha wa kuwa nao kwenye sita kwa sita. Ila ninapowapa mgongo, habari zao kwisha

Sijiskii kabisa kuwa kwenye mahusiano, na si hivyo tu, bali hata ninapowaona wapendanao wamekaa somewhere wanakula upepo, huwa nashikwa na hasira kali sana hadi kufikia hatua ya kuwapopoa na mawe maake naona ni kama wananiteta vile

Sipendi kabisa kukaa na wanawake kwa muda mrefu, sipendi nikiongea mchangiaji mkubwa awe mwanamke, nakasirika sana ninaposikia binti fulani ananitakia kheri (salamu), yaani nimejikuta tu nawachukia, pia nachukia mahusiano ilihali hawajanifanyia chochote kitu. Nahisi hili ni tatizo la kisaikolojia. Nifanyeje? 😭
 
Hapa hata sijui nisemeje maana hapo pichani umeweka dada mwenye Tako na unasema hupendi wanawake na hutaki kuwa nao
Anyway muone Mauki akusomee vitabu labda utakaa sawa ila kifupi ni kwamba wanawake ni muhimu sana
 
Mimi sijawa kwenye relationship for long (years) sina hamu kali ya kuwa na demu then niwe nae nisiwe nae kwangu poa tu shida inakuja pale best friend wanatamba na madem ila mm nasema one day yes nitakuwa tajiri
 
Hapa hata sijui nisemeje maana hapo pichani umeweka dada mwenye Tako na unasema hupendi wanawake na hutaki kuwa nao
Anyway muone Mauki akusomee vitabu labda utakaa sawa ila kifupi ni kwamba wanawake ni muhimu sana
Dah! Kuna kitu hakiko sawa kwa kweli. Mauki anapatikanaje?
 
Mimi sijawa kwenye relationship for long (years) sina hamu kali ya kuwa na demu then niwe nae nisiwe nae kwangu poa tu shida inakuja pale best friend wanatamba na madem ila mm nasema one day yes nitakuwa tajiri
Bora yako hata wewe unawaza utajiri, akili yangu imeishia kwenye wi-fi, nikiwa free nichukue simu yangu nitazame funny videos na memes tu kisha nilale zangu. Nahisi kuna kitu napungukiwa, kitendo cha kuwa mbali na wanawake naona ni kama namkosea Mola wangu, maake siku ya mwisho ataniambia, "Nalikupa mashine haukuitumia, hukufahamu kuwa kuna binadamu wenye uhitaji?"
 
Bora yako hata wewe unawaza utajiri, akili yangu imeishia kwenye wi-fi, nikiwa free nichukue simu yangu nitazame funny videos na memes tu kisha nilale zangu. Nahisi kuna kitu napungukiwa, kitendo cha kuwa mbali na wanawake naona ni kama namkosea Mola wangu, maake siku ya mwisho ataniambia, "Nalikupa mashine haukuitumia, hukufahamu kuwa kuna binadamu wenye uhitaji?"
Hiyo ni feeling ya wote waliopo single mzee. Just fight one day na wewe ubutue
 
Tafuta kwanza huo utajiri unao utaka mkuu .hisia zipo n vile tu una hasira na maishà na ushajua chuma ulete wako n wanawake ..hvyo una budi kuwa kwepa km vile ambavyo mlevi anavyoamua kuacha pombe pindi anapojua inamfuja Hela zake ..

Asante nawasilisha
 
Mim sina demu na sina hisia na mahusiano ,ila umalaya Sasa hakuna demu atakatisha nisimtie ukuni ...
 
Hongera sana ,upo nusu katika safari ya utajiri...Chanzo cha mabaya ni pesa na wasichana Chunga sana alishasema Salu T(M.A.P).
 
Back
Top Bottom