[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]Jela inamsubiri. Alimwambia mama "Tanzania kwa sasa haijawa tayari kuwa na rais mwanamke, unaonaje ukijiuzulu"
Baada ya kuapishwa mama akamjibu "aliyesimama hapa ni Rais mwenye jinsia ya kike"...
Millioni 11 na mawazo yote hayo,huoni mamba hiyo maisha yanaweza kuwa mafupi Sana.Watanzania aina ya mleta mada ni wajinga sana jamani!..
Mkuu haya machadema ndio yanataka kutuaminisha kwamba Bashiru ana msongo wa mawazo.Bashiru atakuwa mjinga ikiwa ana mawazo ya kuachwa kwenye ukatibu mkuu KIONGOZI.
yaani umekaa Tu hapo mijihera inaingia Tu alafu uwe na mawazo?
Hakuna haja ya kumuonea huruma maana aliyotufanyia kwenye uchaguzi ndiyo yanayo mtesa.Binadamu yeyote anapoonyesha kuwa katika msongo wa mawazo anahitaji kupewa msaada wa kisaikolojia haraka kabla hali haijawa mbaya..
Tuliowahi kukaa na huyu jamaa mitaa ya Kemondo -Maruku, Ilungami hizi huwa ndio pozi zake tu!Binadamu yeyote anapoonyesha kuwa katika msongo wa mawazo anahitaji kupewa msaada wa kisaikolojia haraka kabla hali haijawa mbaya...
Mwache asepe tuMillioni 11 na mawazo yote hayo,huoni mamba hiyo maisha yanaweza kuwa mafupi Sana.
Ukivyoandika tu inaonesha ulisikia hii stori shemeji yako akimsimulia dadako ndio nawewe ukaidaka kama ilivyo.Jela inamsubiri. Alimwambia mama "Tanzania kwa sasa haijawa tayari kuwa na rais mwanamke, unaonaje ukijiuzulu"
Baada ya kuapishwa mama akamjibu "aliyesimama hapa ni Rais mwenye jinsia ya kike".
USHAURI WANGU: Aende Ikulu na waandishi wa habari akaombe msamaha kama Nape kwa Magofool.
View attachment 1759343
Unafikiri kila mtu anakuwa driven na hela?Watanzania aina ya mleta mada ni wajinga sana jamani!
Mwenzio hapo anaondoka na milioni 11 per month nje ya marupu rupu mengine.
Ila wewe unaedemka hapa jf huku ukipiga miayo eti unataka umshauri kisaikolojia?
Akili au matope?
Ataendelea kuteseka sana na bado hadi akonde kama msumariTuliowahi kukaa na huyu jamaa mitaa ya Kemondo -Maruku, Ilungami hizi huwa ndio pozi zake tu!
Alafu nikuulize mleta mada....Katibu Mkuu wa Chama chenye wabunge wengi na vitega uchumi kibao, mbunge wa kuteuliwa mwenye mshahara na miposho lukuki unadhani anawaza Sana kama wewe Mwl. Elizeus wa Shule ya Msingi Bunduku? Tuache utani Bashiru huyu aliyejituma kuanzia mwalimu wa kujitolea Kashozi sekondari hadi kuwa mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam....
Watu wa aina ya Bashiru tamaa kwao sio sehemu yake! Siasa inemuita yeye na sio yeye aliyeitafuta kama Nape, Makamba jr, nk.
Watu waliojijenga wenyewe from zero huwa plan A ikibuma tayari wanakuwaga na plan B na C....
Hapo alipo Bashiru kwa tunaomfahamu panamtosha Sana sema Kazi aliyopewa ya kuongoza tume ya kubaini na kurudisha mali za CCM walizokuwa wamegawana watoto wa wakubwa akina Kingunge, Diallo, Gachuma nk ndio zimemtengenezea maadu wengi na sio vinginevyo!
Hakuna wa kumuonea hurumaMpaka kakonda sungura kabisa huyo
Mawazo yapi sasa? Bashiru ana mawazo ana waza nini?Millioni 11 na mawazo yote hayo,huoni mamba hiyo maisha yanaweza kuwa mafupi Sana.