Msaada wa kisheri,nataka kuwashtaki Air tel

Ngongoseke

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2012
Posts
3,202
Reaction score
1,462
Habari zenu wana Jf wenzangu,

Nina uncle wangu kaniomba nimsaidie kumtafutia mwanasheria ambae ataweza kumsaidi kufungua mashtaka juu ya kampuni ya Airtel,airtel wamejenga mnara wao ndani ya kiwanja chao huko kijijini Mwamala,wilaya ya nzega,leo kiasi miaka kama 6 na hawalipi chochote,ni meter 15 tu toka mlangoni kwao,sasa najua jf imejaa wanasheri na wasomi wengi,kwa hiyo naombeni msaada wenu kwa hilo,

My contact,ibrah4real@gmail.com or ni pm ntakupa contact zaidi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…