Nipe mwongozo wa kwenda kwa mkemia mkuu.Nenda kwa mkemia mkuu mkapime kama ni damu yako mkuu
Sio kwamba nakimbia majukumu. Ye mwenyewe anajua si wakwangu. Atakuja leta shida baadae mdau.Acha kukimbia majukumu,wenzako wanatafuta hata wakusingiziwa,kama kazurizuri anza kutoa matunzo
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha masihara wewe.. Unajua uchungu wa kulea mtoto ambaye sio wako! Mbaya zaidi unaona hata kwa macho hii copy sio yangu.Lakini uliruka nae majoka kwa bed...lea tu mkuu..kitanda hakizai haramu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Acha masihara wewe.. Unajua uchungu wa kulea mtoto ambaye sio wako! Mbaya zaidi unaona hata kwa macho hii copy sio yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli ananisingizia.Hahahaha asee umesana mtego mkuu wanawake kwa kwel ndo wanajua baba wa mtoto ni nani
Kasema ni wewe so amin hivo [emoji23][emoji23][emoji23]
WakubambikizwaLitoto ndio kitu gani?
“Start where you are. Use what you have. Do what you can.”
wewe kwanini unahisi sio wako?ulivokuwa unasex nae bila kinga ulidhani mbegu zako zinaenda wapi?
weka picha yako na ya huto mtoto ili tujue kama unasingiziwa kiasi gani.Habari wadau.
Kuna mwanamke ananisingizia litoto jamani naombeni msaada wenu. Tulishawahi kuwa kwenye mahusiano, tumeachana mda ukapita, sahivi anasema ana mtoto wangu mtaani. Msaada wa kisheria wadau.
Sent using Jamii Forums mobile app