Msaada wa kisheria: Dada yangu katapeliwa nyumba Dodoma

ina jina la marehemu haikuwa na jina la muuzaji
Hapa ndio shida ilipokuja kwa kuwa ilikuwa na jina la marehemu na si la muuzaji ilitakiwa wawepo hao ndugu wengi hata kama wangekuwa nchi za nje au nk

*A good wife is from God, but a good husband is from Kigoma*
 
Uko sahihi mkuu

*A good wife is from God, but a good husband is from Kigoma*
 
Hii kesi is very Interesting,I wish ningekua nimeapishwa..
 
Hiyo nyumba ina thamani gani mpaka shauri hilo lianzie baraza la kata? Isije kuwa ni zile nyumba za tembe, maana nijuavyo mabaraza ya kata hufanya mashauri ambayo gharama yake ni ndogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…