V van penga Member Joined Feb 24, 2013 Posts 74 Reaction score 4 Feb 13, 2014 #1 samahan wataalam...nina swali, mm ni tayar mtumish wa umma katika taasis ya elimu ya ju, kuna kaz zmetangazwa hapa kazini kwa post ya juu zaid hivi naweza kuiomba kama waombaji wengne au kuna utaratbu upi wa kuufuata?
samahan wataalam...nina swali, mm ni tayar mtumish wa umma katika taasis ya elimu ya ju, kuna kaz zmetangazwa hapa kazini kwa post ya juu zaid hivi naweza kuiomba kama waombaji wengne au kuna utaratbu upi wa kuufuata?
mzurimie JF-Expert Member Joined Oct 16, 2011 Posts 6,143 Reaction score 3,625 Feb 14, 2014 #2 Kwanza wewe kuandika maneno na bila kuomba unategemea nini, unaandika kichwa bila kama ni lazima. Kasome hilo tangazo na vipengele vyake uone mwenyewe au kaulize wa HR wakueleze au aliyetangaza.
Kwanza wewe kuandika maneno na bila kuomba unategemea nini, unaandika kichwa bila kama ni lazima. Kasome hilo tangazo na vipengele vyake uone mwenyewe au kaulize wa HR wakueleze au aliyetangaza.
V van penga Member Joined Feb 24, 2013 Posts 74 Reaction score 4 Feb 14, 2014 Thread starter #3 mzurimie said: Kwanza wewe kuandika maneno na bila kuomba unategemea nini, unaandika kichwa bila kama ni lazima. Kasome hilo tangazo na vipengele vyake uone mwenyewe au kaulize wa HR wakueleze au aliyetangaza. Click to expand... wamenijib hovyo kaka HR... design wana jealous sasa nimekuja humu nipate msaada wa kisheria kwanza....najielewa kaka
mzurimie said: Kwanza wewe kuandika maneno na bila kuomba unategemea nini, unaandika kichwa bila kama ni lazima. Kasome hilo tangazo na vipengele vyake uone mwenyewe au kaulize wa HR wakueleze au aliyetangaza. Click to expand... wamenijib hovyo kaka HR... design wana jealous sasa nimekuja humu nipate msaada wa kisheria kwanza....najielewa kaka