Msaada wa Kisheria ikiwa.....

Msaada wa Kisheria ikiwa.....

Ruben Mandela

Member
Joined
May 14, 2014
Posts
82
Reaction score
12
Salaam ndg Wanajukwaa, nimepanda hapa jukwaani ili nieleweshwe yafuatayo, je, Katiba ya Nchi inasemaje ikiwa Wagombea wawili watapata idadi sawa ya Kura katika uchaguzi mkuu? mf: Magufuli na Lowassa tar 25 Octobr kwa kuwataja tu kwa vile wanapewa nafasi kubwa? Nimeuliza hili kwa Nchi zingine mf Cote de Vore nimekua nikiskia wanakwenda duru ya Pili nk nk
Na je ikiwa kutakua na duru ya Pili ktk kipindi hicho hayo yote yakiendelea Mamlaka(Dola) itakua inaongozwa na nani kwan nadhan ukomo wa Mamlaka ya Serikali iliyopo madarakani ni tar hizo hizo?
 
Well, kwa nchi yetu hiyo haipo kwa sasa. Ingalikuwa mshindi lazima azidi 50% hapo labda. Lakini hapa kwetu anayekuwa rais ni yule aliyeongoza bila kujali kaongoza percent gani, ili mradi kaongoza! Katiba mpya muhimu!
 
Hiyo haitakuja tokea....usipoteze muda kufikiria hiyo
Rais wetu mchapakazin anajulikana
 

Attachments

  • 1440041747483.jpg
    1440041747483.jpg
    54.5 KB · Views: 111
Back
Top Bottom