Msaada wa kisheria ili ahudumie watoto

Msaada wa kisheria ili ahudumie watoto

unlucky

Senior Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
199
Reaction score
56
Habari zenu ndugu zangu nimekuja tena hapa ili nipate kusaidiwa nanyanyasika sana na watoto wangu na sijui pakwenda na kupata haki za watoto kwa haraka bwana niliyemuacha hawahudumii watoto leo miaka miwili analipa shule tu lakini chakula, Mavazi hamna na mambo mengineyo mtoto wa kwanza hajamlipia shule.

Leo miezi 8 bado yupo nyumbani alioa mwezi wa 9 huyu bwana akawachukua watoto mwezi huu wamekaa nae wiki mbili tu na wamerudi na nguo moja hawajaenda shule leo wiki moja.

Huyu bwana akiulizwa analeta madharau na hana wasiwasi kabisa hajaleta nguo zao hata akipigiwa simu hapokei anadharau mimi sina uwezo na huyu bwana ni foreigner.

Mimi naomba nimpate mwanasheria ambae atanisaidia naomba jamani [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Tuliza akili dada shusha presha uandike vizuri kabisa ueleweke pole sana ndugu.
 
Nenda kituo cha police kitengo cha Dawati la Jinsia na Watoto!
 
Habari zenu ndugu zangu nimekuja tena hapa ili nipate kusaidiwa nanyanyasika sana na watoto wangu na sijui pakwenda na kupata yako za watoto Kwa haraka bwana niliyemuacha hawahudumii wtt leo miaka miwili analipa shule tu lakini chakula. Mavazi Hamna na mambo. Mengineyo mtoto wa kwanza hajamlipia shule leo miezi 8 yupo. Nyumbani alioa mwezi wa huyu bwana akawachukua wtt mwezi huu wamekaa nae wiki mbili tu na wamerudi na nguo moja hawajaenda. Shule leo. Wiki moja huyu bwana akiulizwa analeta mazarau na hana wasiwas. Kabisa hajaleta nguo zao hata akipigiwa simu hapokei anazarau mimi sina uwezo na. Huyu bwana ni foregnor mimi naomba nimpate mwanasheria ambae atanisaidia naomba jamani [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Mungu wangu!!!! hata jina ulilojipa linaweza kuwa kichokoo cha madhila yako.. Umefikiria nini kujipa username hiyo? Pili labda kama umekosea tu kuandika lakini umesema mwenyewe BWANA NILIYEMWACHA. Kwahiyo kisheria inaweza kutafsiriwa wewe ndio mwenye shida

Ushauri wangu
Jipange uhudumie watoto wako kwa upendo na moyo wa shukrani, baraka zitakujia achana kufukuzana na mambo ya kisheria utakuwa unawatesa wanao kisaikolojia na hata kama utakuja kushinda na akaamriwa ahudumie wanae.. Hizo huduma zitakuwa hazina baraka na zinaweza kuwaumiza wanao... Samehe ili Mungu apate nafasi ya kutenda
 
Upo wapi mama? Kama upo Dar niambie nikutumie namba za mwanasheria wangu ili uongee nae maana wao wana mengi sana ya kutushauri
 
Mungu wangu!!!! hata jina ulilojipa linaweza kuwa kichokoo cha madhila yako.. Umefikiria nini kujipa username hiyo? Pili labda kama umekosea tu kuandika lakini umesema mwenyewe BWANA NILIYEMWACHA. Kwahiyo kisheria inaweza kutafsiriwa wewe ndio mwenye shida

Ushauri wangu
Jipange uhudumie watoto wako kwa upendo na moyo wa shukrani, baraka zitakujia achana kufukuzana na mambo ya kisheria utakuwa unawatesa wanao kisaikolojia na hata kama utakuja kushinda na akaamriwa ahudumie wanae.. Hizo huduma zitakuwa hazina baraka na zinaweza kuwaumiza wanao... Samehe ili Mungu apate nafasi ya kutenda
Kweli unayosema na nimefanya hvy leo miaka miwili lakini zulma. Inazidi nifanyeje hana ukarimu huyu bwana ananikomoa anawapa tabu wtt ana haribu elimu yao mie pia sipendi kuhangaika ila naona kazidi atleast awe na huruma lakini hana
 
Back
Top Bottom