Msaada wa kisheria jinsi ya kuandaa mkataba

Joined
Sep 11, 2016
Posts
31
Reaction score
37
Habarini wanasheria,nina pikipiki zangu nlikua nataka niwape madereva kwa mkataba,kwamba wanipe 10k kwa siku then baada ya mwaka mmoja nawaachia pikipiki.

Sasa naomba kujuzwa jinsi ya kuuandaa mkataba huo ili uwe kisheria zaidi,ili unapovunjwa hatua stahiki zichukuliwe


Asanteni.
 
 
Una shingapi? Ni pm na ofa yako nku andalie mkataba saaafi kazi kwako tu kuufanyia kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…