Msaada wa kisheria, juu ya kuvunja mkataba wa kazi

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,385
Reaction score
10,659
Wapendwa,

Katika harakati za kuisoma namba, rafiki yangu ameamriwa kuresign na mwajiri wake au lah atafanya kazi bila malipo. Rafiki huyo ana mkopo toka kampuni hiyo na mwajiri anadai asaini pensheni ndiyo ilipe mkopo. Binafsi si mtaalam wa sheria ila ni mtaalamu wa afya, nimeshindwa kumshauri vizuri.

Tafadhali, naomba msaada katika hili huyu ndugu afanye nini.
 
Masharti ya kuacha kazi huwa yapo kwenye mkataba, mwambie asome vizuri mkataba wake ataona hiyo sehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…