Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,930
- 2,565
Salaamz,
Yupo mama kaniomba ushauri juu ya ndoa yake, nami nimeona suala limekaa kisheria zaidi, hivyo naomba ushauri/msaada wa nini kifanyke. Mama huyu ana mgogoro wa ndoa yeye na mmewake(hawajatengana), mwanaume kaamua kuokota kabinti mtaani anatembea nako. Imefika mahali huyo mzee kaanza kuuza mali alizochuma pamoja na mke wake wa ndoa na kwenda kutumbua na mke wake mpya. je sheria inasema nini juu ya jambo hili, mke anahaki ya kwenda mahakamani kupinga uuzwaji wa nyumaba ? na je mume ana mamalaka kisheria kuuza mali yoyote waliyochuma na mkewake pasi kumshirikisha mkewe. kama inatokea hivyo hatua gani zichukuliwe kwa mke kupata haki yake. je kuna vituo vya msaada wa kisheria vya kuweza kumsaidia huyu mama..? muongozo tafadhali...asanteni..
Yupo mama kaniomba ushauri juu ya ndoa yake, nami nimeona suala limekaa kisheria zaidi, hivyo naomba ushauri/msaada wa nini kifanyke. Mama huyu ana mgogoro wa ndoa yeye na mmewake(hawajatengana), mwanaume kaamua kuokota kabinti mtaani anatembea nako. Imefika mahali huyo mzee kaanza kuuza mali alizochuma pamoja na mke wake wa ndoa na kwenda kutumbua na mke wake mpya. je sheria inasema nini juu ya jambo hili, mke anahaki ya kwenda mahakamani kupinga uuzwaji wa nyumaba ? na je mume ana mamalaka kisheria kuuza mali yoyote waliyochuma na mkewake pasi kumshirikisha mkewe. kama inatokea hivyo hatua gani zichukuliwe kwa mke kupata haki yake. je kuna vituo vya msaada wa kisheria vya kuweza kumsaidia huyu mama..? muongozo tafadhali...asanteni..