Msaada wa Kisheria katika mgogoro huu wa kimkataba kati ya Mwajiri na Mwajiriwa

Msaada wa Kisheria katika mgogoro huu wa kimkataba kati ya Mwajiri na Mwajiriwa

Bishweko

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
3,406
Reaction score
2,521
Salaam wanajamvi,

Msaada na ushauri unahitajika wadungu. Kuna jamaa alikua anafanyakazi na kampuni ya vinywaji Tanzania. Alikua na mkataba wa miaka miwili na uliisha lakini mwajiri hakumpa notisi ile ya miezi mitatu. Baada ya hapo mwajiri alimuandikia barua kuwa atoweza kuendelea nae kwahiyo atamlipa mwezi mmoja kama mkataba unavyosema.

Sasa ni miezi mitatu mwajiri ajalipa pia alikua amchangii NSFF na HESLB kwa hiyo miaka yote. Sasa jamaa amekatalia kwenye nyumba ya mwajiri akitaka kwanza alipwe haki zake huku mwajiri akisema kua atachukua hatua za kisheria kumuondoa kwenye nyumba.

Je, mwajiri anayo ayo mamlaka wakati ajatimiza wajibu wake?

Tutashukuru kwa ushauri
 
Cha kufanya amwandikie demand letter huyo mwajili ili alipwe ndani ya muda Fulani akigoma aende mahakamani akafungue madai na aombe zuio la kutoondolewa kwenye ile nyumba Kama hujaelewa ni pm
 
Salaam wanajamvi,

Msaada na ushauri unahitajika wadungu. Kuna jamaa alikua anafanyakazi na kampuni ya vinywaji Tanzania. Alikua na mkataba wa miaka miwili na uliisha lakini mwajiri hakumpa notisi ile ya miezi mitatu. Baada ya hapo mwajiri alimuandikia barua kuwa atoweza kuendelea nae kwahiyo atamlipa mwezi mmoja kama mkataba unavyosema.

Sasa ni miezi mitatu mwajiri ajalipa pia alikua amchangii NSFF na HESLB kwa hiyo miaka yote. Sasa jamaa amekatalia kwenye nyumba ya mwajiri akitaka kwanza alipwe haki zake huku mwajiri akisema kua atachukua hatua za kisheria kumuondoa kwenye nyumba.

Je, mwajiri anayo ayo mamlaka wakati ajatimiza wajibu wake?

Tutashukuru kwa ushauri
Twende taratibu mkataba wa miaka miwili uliisha ndani wa muda wake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam wanajamvi,

Msaada na ushauri unahitajika wadungu. Kuna jamaa alikua anafanyakazi na kampuni ya vinywaji Tanzania. Alikua na mkataba wa miaka miwili na uliisha lakini mwajiri hakumpa notisi ile ya miezi mitatu. Baada ya hapo mwajiri alimuandikia barua kuwa atoweza kuendelea nae kwahiyo atamlipa mwezi mmoja kama mkataba unavyosema.

Sasa ni miezi mitatu mwajiri ajalipa pia alikua amchangii NSFF na HESLB kwa hiyo miaka yote. Sasa jamaa amekatalia kwenye nyumba ya mwajiri akitaka kwanza alipwe haki zake huku mwajiri akisema kua atachukua hatua za kisheria kumuondoa kwenye nyumba.

Je, mwajiri anayo ayo mamlaka wakati ajatimiza wajibu wake?

Tutashukuru kwa ushauri
Unachanga vitu viwili yani mkataba ni miaka miwili na mkataba uliisha sasa notes ya nini bwashehe, mkataba kuisha kwa muda wake tayari hiyo inafaa kuwa termination

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam wanajamvi,

Msaada na ushauri unahitajika wadungu. Kuna jamaa alikua anafanyakazi na kampuni ya vinywaji Tanzania. Alikua na mkataba wa miaka miwili na uliisha lakini mwajiri hakumpa notisi ile ya miezi mitatu. Baada ya hapo mwajiri alimuandikia barua kuwa atoweza kuendelea nae kwahiyo atamlipa mwezi mmoja kama mkataba unavyosema.

Sasa ni miezi mitatu mwajiri ajalipa pia alikua amchangii NSFF na HESLB kwa hiyo miaka yote. Sasa jamaa amekatalia kwenye nyumba ya mwajiri akitaka kwanza alipwe haki zake huku mwajiri akisema kua atachukua hatua za kisheria kumuondoa kwenye nyumba.

Je, mwajiri anayo ayo mamlaka wakati ajatimiza wajibu wake?

Tutashukuru kwa ushauri
Mwajiri ana haki zake hapo ndiyo, wewe kama michango ya nssf wafuate nssf waje kumdai kafungue dai nssf wakiona hakuna mchango wowote haujapelekwa watamdai mwajiri just relax nssf ipo kwaajili yetu, awe hajachangia as long ulikua na mkataba na barua ya kuachishwa kazi atazilipa hiyo michango, tena kama alikua hakukati ile 10% basi atailipa yeye yani atalipa 20%,acha nssf wafuatilie, ila ondoka kwenye nyumba ya mwajiri sheria inaweza fuatiliwa hata ukiwa nje ya nyumba ya mwajiri wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waswahili wakishaachishwa kazi ndo kelele na vimaneno vya kuokoteza dhidi ya mwajiri utavisikia.

Hapa usikute umeshaandika barua TAKUKURU na TRA za kushutumu mwajiri kwa kukwepa kodi na kuhujumu uchumi kisa tu hajakupa ajira tena.

Muwe na shukrani. Hard working pays, ukiwa lopolopo akuajiri tena iweje?
 
Waswahili wakishaachishwa kazi ndo kelele na vimaneno vya kuokoteza dhidi ya mwajiri utavisikia.

Hapa usikute umeshaandika barua TAKUKURU na TRA za kushutumu mwajiri kwa kukwepa kodi na kuhujumu uchumi kisa tu hajakupa ajira tena.

Muwe na shukrani. Hard working pays, ukiwa lopolopo akuajiri tena iweje?
Kweli mkuu ila mara nyingi mtu ambae anakua nje ya issue kama hii ni vigumu kuelewa ila anaweza kukejeri atakavyo. Pia mkuu ajira si lazma kumbuka ila kama mwajiriwa ana haki zake anakudai au anadai lazma uzitimize tu tajiri.
 
Waswahili wakishaachishwa kazi ndo kelele na vimaneno vya kuokoteza dhidi ya mwajiri utavisikia.

Hapa usikute umeshaandika barua TAKUKURU na TRA za kushutumu mwajiri kwa kukwepa kodi na kuhujumu uchumi kisa tu hajakupa ajira tena.

Muwe na shukrani. Hard working pays, ukiwa lopolopo akuajiri tena iweje?
Sio kila amalizae mkataba na kutoongezwa mkataba tena kua sio productive mkuu.
Je unaona ni sahihi mtumishi kukatwa PAYE 500000 Lakini mwajiri anawasilisha 200000 kama PAYE yako?
Je,unaona ni sahihi mwajiri kutochanga michango ya NSSF kwa miezi 27 huku alikua anakukata zako kila mwezi?
Je,unaona ni sahihi kila mwezi mwajiri anakukata takribani 456900 za HESLB lakini apeleki hiyo michango alafu HESLB wanakupiga fine?
Mwisho mkuu ili ni jukwaa la wanasheria wasomi ebu waache wakatoe ushauri sio wewe ghetto lawyer.. Samahani kama nimekuudhi
 
Mambo kama hayo humalizwa kwenye mahakama za migogoro na usuluhishi...
 
kwa kutumia sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004 na kanuni za ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2007 inasema hivi mwajiri anaweza kumuachisha kazi muajiriwa endapo amefata masharti ya mkataba hii ipo kifungu cha 8 kanuni za ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2007

sasa basi kwenye mkataba kuna kipengele/clause inaitwa termination of the contract/ukomo wa mkataba sasa basi kwa mkataba wa muda maalumu huwa unajulikana kabisa utaanza lini utaisha lini mfano ukianza january 2020 utaisha December 2021 na inakuwa automatically hamna haja ya kuambiana

Makosa ya waajiri wengi yapo hapa inafika january 2021 hasemi chochote inafika february analipa hadi mshahara sasa inafika march 2021 anakupa barua ya termination kwamba mkataba wako umeisha hatoweza kuendelea na wewe

Sheria inatambua hivi mkataba wa muda maalumu unakoma wenyewe na unajianzisha upya wenyewe kwa makubaliano ya mkataba wa awali

Kinachotakiwa kutolewa kitu kinaitwa NON RENEW OF CONTRACT NOTICE ili kupunguza matarajio ya mfanyakazi kupata mkataba mpya ule wa awali ukifika mwisho na hii kuna mda inaweza isiwe na uzito kwa kuwa tu mkataba wa muda maalumu unakoma wenyewe muda ukifika ila maujiri hatakiwi kuvukisha ule mwezi ulipo kwenye mkataba kama ni january iwe january sio unafika march ndo anasema hapo akifanya hivyo atatakiwa kulipa fidia ya miezi iliyobakia


Hoja ya pili Sasa ni alikua amchangii NSFF na HESLB kwa hiyo miaka yote

Sheria ya NSSF ya mwaka 2018 kifungu cha 14 kila mwezi mwajiri inatakiwa alipe michango ya waajiriwa wake wote kama hatofanya hivyo 14(3) kunakuwa na penati ya asilimia 5% ya jumla ya michango

Nenda kwenye wilaya husika ofisi husika omba kuonana na manager narudia manager yeye atakupa compliance officer ili wakamkague muajiri na wajenge deni watamuandikia demand note ya kulipa hizo pesa alafu watazitawanya sasa kwa iyo miaka yote

Muhimu ungeweka wazi huo mkataba wa miaka 2 ulianza lini na uliisha lini na notes ilitoka lini tukijua hilo tu tutakuwa na kesi ya msingi
 
Back
Top Bottom