mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 619
Wanabod habar za majukumu.kwanza nitangulize shukran kwa msaada wanaopata watu humu kuhusiana na maswala haya ya kisheria.nakuweza kupata muongozo wa kutatua matatizo yao.
Mimi nina ndugu yangu yeye na mkewe hivi mwezi ulopita ndoa yao iliingia dosar kwa jamaa kufumwa na sms za mwanamke na mkewe.jamaa alijitetea lakin mke hakuelewa akakimbilia kwao.jamaa akaenda wakaekwa kikao na wazee lakin mke hakuelewa akasema apewe muda afikirie akiwa kwao.kesho yake ndugu zake wakamchukua na kwenda kuish nae mkoan bila jamaa kujua kinachoendelea baada ya wiki ndo anakuja kujua kumbe mke hayupo kaondoka na mtoto na akiwapigia shemeji zake pamoja na wakwe zake hawampi majibu yanayoeleweka.mtoto wao ana miaka miwili na nusu.hii inaonekana ndug zake hawataki warudiane.sasa jamaa anataka mwanae kama itashindikana mke kurudi je ataweza kumpata kisheria?na kama inawezekana ni njia gani anaweza kutumia na afungue kes ya aina gani.naombe tumsaidie ndugu yetu
Mimi nina ndugu yangu yeye na mkewe hivi mwezi ulopita ndoa yao iliingia dosar kwa jamaa kufumwa na sms za mwanamke na mkewe.jamaa alijitetea lakin mke hakuelewa akakimbilia kwao.jamaa akaenda wakaekwa kikao na wazee lakin mke hakuelewa akasema apewe muda afikirie akiwa kwao.kesho yake ndugu zake wakamchukua na kwenda kuish nae mkoan bila jamaa kujua kinachoendelea baada ya wiki ndo anakuja kujua kumbe mke hayupo kaondoka na mtoto na akiwapigia shemeji zake pamoja na wakwe zake hawampi majibu yanayoeleweka.mtoto wao ana miaka miwili na nusu.hii inaonekana ndug zake hawataki warudiane.sasa jamaa anataka mwanae kama itashindikana mke kurudi je ataweza kumpata kisheria?na kama inawezekana ni njia gani anaweza kutumia na afungue kes ya aina gani.naombe tumsaidie ndugu yetu