Msaada wa kisheria kufukuzwa chuo baada ya kukutwa na meza bwenini

jafari mwijae

Senior Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
181
Reaction score
39
Habarini za mchana wana jamiiforum! katika hali si ya kawaida wanafunzi watano wa stashaada ya uuguzi na ukunga tukuyu
 
wamesimamishwa masomo kwa muda wa wiki mbili kisa kukamatwa na dawati bwenini kwao! Tafadhar wanaomba msaada wa kisheria
 
Kwani sheria za wizara ya afya katika vyuo vilivyo chini yake zinasemaje?! Na mbna tittle yako inatofautiana na content?wamefukuzwa au wamesimamishwa?
 
ili mtu afukuzwe chuo mambo gani ya kuzingatiwa ? wanaomba muongozo
 
Code of conduct inaeleza kila kitu,jipe muda kuitafuta,kuisoma na kuielewa!
 
Hakuna kosa kusimamishwa!wanawapatia tu funzo kutokana na kibur chenu safi sana uongoz wa chuo!
 
Sheria husika za Chuo zinasemaje ?

Kila sehemu inaweza ikawa ina sheria zake.., kama nyumbani kwako watoto hawatakiwa kugusa jiko la umeme sio kwamba nyumba zote kuna hizo sheria..., wala huwezi kuchukua sheria za jirani na kuzitumia nyumbani kwako.

Kama wamefanya jambo ambalo linakatazwa basi huo ni utovu wa nidhamu..., na utovu wa nidhamu hautakiwi kwenye community yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…