Msaada wa kisheria kuhusiana na hili

Msaada wa kisheria kuhusiana na hili

nemnunu

Member
Joined
Jun 4, 2019
Posts
74
Reaction score
64
Kisheria hii imekaaje.

Mtu ana bodaboda ametoa kwa mkataba, ikatokea pikpik imeibiwa na aloibiwa sio huyo alokabidhiwa kwa mkataba ni mtu wa pili.

Polisi wakafungua kesi ya jinai ambapo mtuhumiwa akawa huyo mtu wa pili ambaye hana mkataba na mmiliki.

Sasa je ni vip huyu mmiliki anaweza pata haki yake, ikiwa mtuhumiwa na yeye hawana makubaliano?

Inawezekana kesi ikabadilishwa toka kwenye jinai ikawa madai ili akabiliane na huyo alokabidhiana naye?
 
Kisheria hii imekaaje.

Mtu ana bodaboda ametoa kwa mkataba, ikatokea pikpik imeibiwa na aloibiwa sio huyo alokabidhiwa kwa mkataba ni mtu wa pili.

Polisi wakafungua kesi ya jinai ambapo mtuhumiwa akawa huyo mtu wa pili ambaye hana mkataba na mmiliki.

Sasa je ni vip huyu mmiliki anaweza pata haki yake, ikiwa mtuhumiwa na yeye hawana makubaliano?

Inawezekana kesi ikabadilishwa toka kwenye jinai ikawa madai ili akabiliane na huyo alokabidhiana naye?
Mwizi kaiba kapatikana sheria inachukua mkondo wake
Mwenye mkataba ni mmiliki kwa mkataba mazingira yakuibiwa yakoje?
Mmiliki ana nyaraka halali zinazoonesha umiliki wa chombo! Chombo chochote cha moto kinapaswa kuwa na bima...
Mmiliki achukue mkataba na RB apeleke bima asubiri utaratibu
 
Mwizi kaiba kapatikana sheria inachukua mkondo wake
Mwenye mkataba ni mmiliki kwa mkataba mazingira yakuibiwa yakoje?
Mmiliki ana nyaraka halali zinazoonesha umiliki wa chombo! Chombo chochote cha moto kinapaswa kuwa na bima...
Mmiliki achukue mkataba na RB apeleke bima asubiri utaratibu
Ahsante sana
 
Andika barua kwa hakimu mfawidhi (magistrates incharge) wa eneo husika kama wamekataa kukupa hukumu
 
Back
Top Bottom