Msaada wa kisheria kuhusu ajira

BOD

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2016
Posts
222
Reaction score
164
hongereni na majukumu ya ujenzi wa taifa wakuu.ninaomba ufafanuzi wa kisheria kuhusu mtu aliewahi kuajiriwa na serikali kisha akaachishwa kazi kwa madai ya utoro kazini,je anaajirika tena na serikali? kama ni ndiyo, kuna mchakato wa kupitia au ni kawaida kama freshers?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…