Dalali wa mjini
JF-Expert Member
- Oct 5, 2024
- 326
- 464
Habari wakuu.
Kuna mhusika ana eneo lake ukubwa ni heka moja Kwa vipimo vya macho lakini ndani ya Hilo eneo Kuna nguzo ya umeme laini kubwa ile ya 33.
Sasa anataka kupeleka wataalamu wa Ardhi kwajili ya kupima ili kuweka mawe ya Ardhi (Bikoni). Gharama zimekaaje hapo wakuu na Je anaweza akapimiwa kiwanja chake ikiwa umeme mkubwa umepita.
Hili eneo lipo mjini kabisa Buza kwa lulenge na kuna nyumba 5 ndani ya eneo.
Kuna mhusika ana eneo lake ukubwa ni heka moja Kwa vipimo vya macho lakini ndani ya Hilo eneo Kuna nguzo ya umeme laini kubwa ile ya 33.
Sasa anataka kupeleka wataalamu wa Ardhi kwajili ya kupima ili kuweka mawe ya Ardhi (Bikoni). Gharama zimekaaje hapo wakuu na Je anaweza akapimiwa kiwanja chake ikiwa umeme mkubwa umepita.
Hili eneo lipo mjini kabisa Buza kwa lulenge na kuna nyumba 5 ndani ya eneo.