Msaada wa Kisheria kuhusu jina

Msaada wa Kisheria kuhusu jina

adakiss23

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
4,732
Reaction score
4,901
hivi inaweza mtoto kuwa na majina mawili tu na asiwe na surname. sheria za tanzania zinasemaje? yaani lets say mtoto anaitwa jacob ww unaitwa ladislaus surname massawe. je mtoto anaweza kuitwa jacob ladislaus tu.
msaada wadau
 
Hakuna fomality juu ya majina cha muhimu not less tham two. Wala ucwe na was was
 
hivi inaweza mtoto kuwa na majina mawili tu na asiwe na surname. sheria za tanzania zinasemaje? yaani lets say mtoto anaitwa jacob ww unaitwa ladislaus surname massawe. je mtoto anaweza kuitwa jacob ladislaus tu.
msaada wadau


Kwani kwenye cheti cha kuzaliwa jina la baba wa mtoto linasomekaje? Anaweza kuandika apendavyo lakini in reference kwa jina la baba katika cheti cha kuzaliwa, kama atachukua moja ama yote ni hiari.
 
Back
Top Bottom