Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Ni jambo lisilopingika kuwa watoto wa masikini wanao soma shule za kata wanapewa MITIHANI na NECTA kwenye masomo ambayo hawajawahi kufundishwa na wanaandikiwa 0 ambayo ni F na kuwaharibia vyeti vyao na maisha yao pia.
Natoa wazo hli kwenu wadau wa elimu tujadili swala hili; je kuna uwezekano wa kuiburuza serikali na NECTA mahakamani
kwa kosa hili?
Ukweli ni kwamba wanafunzi hawa wapo wengi na wanaweza kusaidia ktk kutoa ushahidi mahakamani.
Natoa wazo hli kwenu wadau wa elimu tujadili swala hili; je kuna uwezekano wa kuiburuza serikali na NECTA mahakamani
kwa kosa hili?
Ukweli ni kwamba wanafunzi hawa wapo wengi na wanaweza kusaidia ktk kutoa ushahidi mahakamani.