Msaada wa kisheria kuhusu kuhusu mitihani ya taifa shule za kata!

Msaada wa kisheria kuhusu kuhusu mitihani ya taifa shule za kata!

Paul Kijoka

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2010
Posts
1,399
Reaction score
255
Ni jambo lisilopingika kuwa watoto wa masikini wanao soma shule za kata wanapewa MITIHANI na NECTA kwenye masomo ambayo hawajawahi kufundishwa na wanaandikiwa 0 ambayo ni F na kuwaharibia vyeti vyao na maisha yao pia.

Natoa wazo hli kwenu wadau wa elimu tujadili swala hili; je kuna uwezekano wa kuiburuza serikali na NECTA mahakamani
kwa kosa hili?

Ukweli ni kwamba wanafunzi hawa wapo wengi na wanaweza kusaidia ktk kutoa ushahidi mahakamani.
 
Nadhani suala hili ni muhimu sana kwa kila Mtanzania mwenye mapenzi bora na watu wote!
 
Back
Top Bottom