Unatuaibisha wanaume. Think big.Ndugu zangu,mimi ni mmoja ya wazawa wa kanda ya Ziwa.Mwaka 2014 mwezi wa tatu nilitoa mahari kwa kulazimishwa kwa binti mmoja hivi aliyepata ujauzito wangu.Nilitoa ng'ombe 15,huyu binti skukaa naye ila aliniachia mtoto tu akarudi kwao.Nataka nirudishe ng'ombe zangu wakuu ila baba yake anazingua ili hali ana ng'ombe wangu.Nifuate njia gani za kisheria?
Huo ujauzito ulimpa kwa kulazimishwa? Alirudi kwao kwa hiari au ulimfukuza maana kama ulimlipia mahari huyo ni mkeo ulipaswa kufuatilia kwa wakwe zako na kumrudisha kitandani kwakoNdugu zangu,mimi ni mmoja ya wazawa wa kanda ya Ziwa.Mwaka 2014 mwezi wa tatu nilitoa mahari kwa kulazimishwa kwa binti mmoja hivi aliyepata ujauzito wangu.Nilitoa ng'ombe 15,huyu binti skukaa naye ila aliniachia mtoto tu akarudi kwao.Nataka nirudishe ng'ombe zangu wakuu ila baba yake anazingua ili hali ana ng'ombe wangu.Nifuate njia gani za kisheria?
bofya hapa kupata kitabu kinachoongelea yote hayo SHERIA TANZANIANdugu zangu,mimi ni mmoja ya wazawa wa kanda ya Ziwa.Mwaka 2014 mwezi wa tatu nilitoa mahari kwa kulazimishwa kwa binti mmoja hivi aliyepata ujauzito wangu.Nilitoa ng'ombe 15,huyu binti skukaa naye ila aliniachia mtoto tu akarudi kwao.Nataka nirudishe ng'ombe zangu wakuu ila baba yake anazingua ili hali ana ng'ombe wangu.Nifuate njia gani za kisheria?
Achana nao hao ng'ombe maana mali zinatafutika wewe unafikiri nani anarudishaga mahari?