Msaada wa kisheria kuhusu mifuko ya jamii NSSF

Msolopagazi

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
663
Reaction score
153
Jamani mimi nilikuwa mfanyakazi kwenye sekta ya madini nimeachishwa kazi muda wa miezi nane lakini kila nikienda NSSF nazungushwa njoo baada ya miezi miwili mara mwezi bila mafanikio je kuna njia gani nitaweza kutumia labda ili niweze kupata haraka. Nitashukuru sana kwa mawazo yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…