msaada wa kisheria kuhusu mkopo wa wafanyakazi

msaada wa kisheria kuhusu mkopo wa wafanyakazi

mmbangaya

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2015
Posts
997
Reaction score
1,765
wana Jf
Naomba mwenye uelewa na sheria ya ajira anisaidie. Pale ambapo mfanyakazi anakopeshwa mkopo wa ajira na mwajiri wake na dhamana inakuwa ni ajira.., ikatokea mfanyakazi huyo akafanya kosa la kawaida tuu siyo wizi na akafukuzwa kazi. Hapa ule mkopo aliopewa kama hajamaliza kuulipa inakuwa aje?
 
Acheni uozo wa fikra...kaeni na wafanyakazi wenu vizuri...sio mkipishana mawazo kidogo tu tayari wanakuwa maadui zenu. Mnataka kumfukuza baada ya kumpa mkopo mnataka kalipe kwa njia gani hilo deni...ama kaingilia ulaji wenu....Acheni ubwanyenye ninyi...mkimfanyia mbaya huyo jamaa nampa msaada kisheria inakula kwenu pande zote...
 
Back
Top Bottom