msaada wa kisheria kuhusu mtu kuingilia mawasaliano yako ya simu through sms

msaada wa kisheria kuhusu mtu kuingilia mawasaliano yako ya simu through sms

mr traders

Member
Joined
Oct 27, 2012
Posts
38
Reaction score
15
hellow wadau , mimi na tatizo la la kisheria linalonisumbua n kwamba kuna jamaa ambaye ni business partener wangu na nahish nae hapa dar, tunafanya biashara pamoja zaid ya miaka minne sasa ila kama miez sita iliyopita hivi tumeingia kwenye mgogoro biashara ila taarifa za uhakika nilizopata ni kuwa anaenda kwenye makampun ya simu ikiwemo voda com anaomba kupata sms zote na namba za watu ninao wasiliana nao, na hata kipind cha nyuma kabla hatujagombana alishawah kuniambia kuna jamaa yake yupo voda anaweza mpa hizo sms na voice calls. je naomba kuuliza inaruhisiwa kama anavyofanya yeye? na kama anaruhusiwa ni idara gan inayofanya huo utaratibu? na je mm malalamiko yangu naweza kuyapeleka wap kisheria? naomben msadaa wenu wadau
 
Kimsingi katiba ya nchi kifungu cha 16 kinalinda haki yako ya mawsiliano binafsi na hapaswi mtu mwingine kuingilia haki hiyo.pia sheria ya mawasiliano ya kielektroniki na posta fungu la 98 linalinda haki ya usiri wa mawasiliano binafsi.kuhusu mahakama yenye mamlaka ni mahakam kuu ya mahali ulipo.
 
hellow wadau , mimi na tatizo la la kisheria linalonisumbua n kwamba kuna jamaa ambaye ni business partener wangu na nahish nae hapa dar, tunafanya biashara pamoja zaid ya miaka minne sasa ila kama miez sita iliyopita hivi tumeingia kwenye mgogoro biashara ila taarifa za uhakika nilizopata ni kuwa anaenda kwenye makampun ya simu ikiwemo voda com anaomba kupata sms zote na namba za watu ninao wasiliana nao, na hata kipind cha nyuma kabla hatujagombana alishawah kuniambia kuna jamaa yake yupo voda anaweza mpa hizo sms na voice calls. je naomba kuuliza inaruhisiwa kama anavyofanya yeye? na kama anaruhusiwa ni idara gan inayofanya huo utaratibu? na je mm malalamiko yangu naweza kuyapeleka wap kisheria? naomben msadaa wenu wadau

Nenda TCRA-Mamlaka ya Mawasiliano utasaidiwa tatizo.
 
Back
Top Bottom