Kwann wamewazuia kumuona ndg yenu wkt huo sio utaratibu?Wik 3 ni nyingi sna kwa mtuhumiwa kuwa mahabusu bila kufunguliwa mastaka.Nina wasiwasi huenda wamemtesa ndo maana hawataki muonane nae.Hapo Central napafahamu vzr kwa unyanyasaji na kutesa watuhumiwa ili kuwalazimisha kutoa ushaidi hata kama ni wa uongo.
Nakushauri onana na OCD umuelezee huenda hata hafahamu kinachoendelea
Watuhumiwa kwa makosa gani? General rule ni 24 hours!