Ndoa ya leo ya Dr. Mengi na K-Lynn ni ya kweli? au ndio tusubiri siku Dr. Mengi ajekuita waandishi wa habari na kukanusha tena kuwa ni uvumi tuu?
Street is talking kwamba ndoa ya Dr. Mengi na mkewe Mercy is still valid (yani hawajatalikiana), kutokana na ukweli ya kwamba ndoa hiyo ilikuwa ni ya kanisa (until death do them apart). Sasa hapa ndipo ninapoomba msaada wa sheria katika maswali yafuatayo:-
1. Kama ni kweli ndoa ya kwanza haijatengulia, je Dr. Mengi atakuwa amevunja sheria ya inchi kufunga ndoa na K-Lynn hata kama ndoa imefungwa inchi nyingine?
2. Assume Dr. Mengi hakuweka wazi nani atakuwa muamuzi wake mkuu katika maswala ya afya. Je, kama ikatokea Dr. Mengi amepata matatizo ya kiafya na hawezi kufanya maamuzi muhimu, je inawezekana k-Lynn akawa na final say as it seems Dr. Mengi and his first wife doesn't get along?
3. Kwakuwa K-Lynn anawatoto na Mr. Mengi, je hao watoto watakuwa part of Mengi's estate hataka ndoa hiyo ikagundulika kuwa batili?
4. Kama mke mkubwa akajatambua kwamba kweli kuna ndoa imefungwa wakati yeye bado ana ndoa halali na Dr. Mengi, je, kisheria naruhusiwa kumfikisha Dr. mengi mahakamani na kumshitaki?
Naomba mtusaidie kujua atamshitaki kwa kutumia kipengele kipi cha sheria?
Asanteni!
Street is talking kwamba ndoa ya Dr. Mengi na mkewe Mercy is still valid (yani hawajatalikiana), kutokana na ukweli ya kwamba ndoa hiyo ilikuwa ni ya kanisa (until death do them apart). Sasa hapa ndipo ninapoomba msaada wa sheria katika maswali yafuatayo:-
1. Kama ni kweli ndoa ya kwanza haijatengulia, je Dr. Mengi atakuwa amevunja sheria ya inchi kufunga ndoa na K-Lynn hata kama ndoa imefungwa inchi nyingine?
2. Assume Dr. Mengi hakuweka wazi nani atakuwa muamuzi wake mkuu katika maswala ya afya. Je, kama ikatokea Dr. Mengi amepata matatizo ya kiafya na hawezi kufanya maamuzi muhimu, je inawezekana k-Lynn akawa na final say as it seems Dr. Mengi and his first wife doesn't get along?
3. Kwakuwa K-Lynn anawatoto na Mr. Mengi, je hao watoto watakuwa part of Mengi's estate hataka ndoa hiyo ikagundulika kuwa batili?
4. Kama mke mkubwa akajatambua kwamba kweli kuna ndoa imefungwa wakati yeye bado ana ndoa halali na Dr. Mengi, je, kisheria naruhusiwa kumfikisha Dr. mengi mahakamani na kumshitaki?
Naomba mtusaidie kujua atamshitaki kwa kutumia kipengele kipi cha sheria?
Asanteni!