Mzawa_G
JF-Expert Member
- Feb 27, 2014
- 669
- 1,475
Habari wadau,
Naomba msaada wa kisheria kuhusu mirathi. Mwanzoni mwa mwaka huu Baba yangu mzazi alistaafu , miezi kadhaa baada kustaafu alipata ajali ya Gari na kufariki siku chache akiwa hospital.
Kutokana na kwamba Baba yetu alikuwa mstaafu tulianza taratibu za kufuatilia mirathi hasa hela zilizopo kweny account yake ya NMB.
Tulifuata taratibu zote za kisheria mpaaka tukamaliza lakini shida imekuja kwa hakimu anayeisimamia kesi yetu yeye yupo likizo na karani wake anasema tusuburi mpk arudi likizo mwezi ujao ndo amilizie kutia sign ili fedha ziingizwe kwenye account zetu.. tumejaribu kupambana lakini mpk sas hakuna matumaini ya kupata hizo fedha na mtaani tuna madeni tulitegemea kupata hzo fedha ili kulipa hayo madeni.
Kwa jinsi inavyoonekana kuna mianya ya rushwa inatengenezwa. Naomba msaada nifanye nini ili kupata haki yangu bila kutoa rushwa.
Naomba msaada wa kisheria kuhusu mirathi. Mwanzoni mwa mwaka huu Baba yangu mzazi alistaafu , miezi kadhaa baada kustaafu alipata ajali ya Gari na kufariki siku chache akiwa hospital.
Kutokana na kwamba Baba yetu alikuwa mstaafu tulianza taratibu za kufuatilia mirathi hasa hela zilizopo kweny account yake ya NMB.
Tulifuata taratibu zote za kisheria mpaaka tukamaliza lakini shida imekuja kwa hakimu anayeisimamia kesi yetu yeye yupo likizo na karani wake anasema tusuburi mpk arudi likizo mwezi ujao ndo amilizie kutia sign ili fedha ziingizwe kwenye account zetu.. tumejaribu kupambana lakini mpk sas hakuna matumaini ya kupata hizo fedha na mtaani tuna madeni tulitegemea kupata hzo fedha ili kulipa hayo madeni.
Kwa jinsi inavyoonekana kuna mianya ya rushwa inatengenezwa. Naomba msaada nifanye nini ili kupata haki yangu bila kutoa rushwa.