F french JF-Expert Member Joined Aug 2, 2017 Posts 3,572 Reaction score 3,726 Apr 14, 2021 Thread starter #21 SHEDEDE said: Unazo evidence kwamba ulilipia hivyo? Barua ya admission ilieleza gharama hizo? Click to expand... mkuu kama umesoma lazima utakuwa unajuwa barua ya admission pamoja na fees structure ionyeshe. fee structure kawaida inaonyesha fees payable to university na fees payable direct to student
SHEDEDE said: Unazo evidence kwamba ulilipia hivyo? Barua ya admission ilieleza gharama hizo? Click to expand... mkuu kama umesoma lazima utakuwa unajuwa barua ya admission pamoja na fees structure ionyeshe. fee structure kawaida inaonyesha fees payable to university na fees payable direct to student
F french JF-Expert Member Joined Aug 2, 2017 Posts 3,572 Reaction score 3,726 Apr 14, 2021 Thread starter #22 rodrick alexander said: Ndiyo hiyohiyo mimi wameshanisaidia baada ya kuzungushwa na makarani na nilikuwa simjui mtu yoyote Click to expand... poa nimeshatuma msg kwa njia ya whatsapp. nimepiga picha pia barua niliondika ya kikata rufaa na nimewatumia pia
rodrick alexander said: Ndiyo hiyohiyo mimi wameshanisaidia baada ya kuzungushwa na makarani na nilikuwa simjui mtu yoyote Click to expand... poa nimeshatuma msg kwa njia ya whatsapp. nimepiga picha pia barua niliondika ya kikata rufaa na nimewatumia pia
othuman dan fodio JF-Expert Member Joined Jan 2, 2018 Posts 6,850 Reaction score 11,033 Apr 17, 2021 #23 EINSTEIN112 said: hamna mtihani hapo ye aandike barua ya kudai hukumu yake na awakabidhi kwa DISPATCH Click to expand... Sio lazima awe na dispatch, anaweza kuwa na nakala mbili wakishagonga mihuri moja anabaki nayo. Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
EINSTEIN112 said: hamna mtihani hapo ye aandike barua ya kudai hukumu yake na awakabidhi kwa DISPATCH Click to expand... Sio lazima awe na dispatch, anaweza kuwa na nakala mbili wakishagonga mihuri moja anabaki nayo. Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app