Makusaro ndetengo
Member
- Jun 21, 2013
- 7
- 3
Kuna taasisi moja inayohusika na elimu ya juu hpa dar-es-salaam imewafukuza wanafunzi 45 kwa kosa la kufoji risiti za ada.Ni kweli makosa haya yalifanyika lakini taratibu za kumfukuza mwanafunzi hazikufuatwa kam student handbook inavyosema pamoja na university charter ya taasisi hiyo. Kabla ya ndugu hawa kufukuzwa waliambiwa walipe fedha hizo wataendelea na masomo lakini baada ya kufanya hivyo walifukuzwa moja kwa moja.
Kikubwa cha kushangaza ni kwamba walihojiwa na kamati isiyo halali tarehe 28 january baada ya hapo wakapewa barua za dismisal ambapo barua hiyo inasema kwamba maamuzi ya kuwafukuza chuo yalifanyika tarehe 8 january swali hapa ni kwamba kwa nini umhoji mtu wakati maamuzi yameshatendeka. Na inasemekana kwenye kitengo hiki imeshapita miaka mitatu toka wanafunzi waanze mchezo huu na mhasibu alikua hajaliona hilo hivi ukweli uko wp hpa? Baada ya kuja mhasibu mpya ndie aliyegundua huu mchezo na baada ya kugundua tu wakamtimua.
Kikubwa zaidi wanafunzi hawa wanapata mikopo kutoka students loans board na kwenye barua yao ya kufukuzwa waliambiwa taarifa zitatumwa loan board na tcu ili wasitishie huduma lakini uongozi wa taasisi hii haujafanya hivyo na kwa male wanaopata mikopo majina yao bado yanakuja chuoni hpo na ili uendelee kupata mkopo lazima bodi wapata matokeo yako ya kila semister na hawa jamaa hawajafanya mtihani wowote toka january but kule board kuna matokeo yao ambayo ni feki. Tunaomba msaada wenu wa kisheria kwani vijana hawa hawana pa kwenda na walijaribu kuonana na baadhi ya wanasheria but wakawa matapeli kwa kuwalia pesa zao na kazi hawajafanya na wanafunzi wapo mtaani wanateseka na hali ngumu ya maisha..........niliyoandika yote ushahidi upo wa maandishi...............TUNAOMBA MSAADA WANA JAMII
Kikubwa cha kushangaza ni kwamba walihojiwa na kamati isiyo halali tarehe 28 january baada ya hapo wakapewa barua za dismisal ambapo barua hiyo inasema kwamba maamuzi ya kuwafukuza chuo yalifanyika tarehe 8 january swali hapa ni kwamba kwa nini umhoji mtu wakati maamuzi yameshatendeka. Na inasemekana kwenye kitengo hiki imeshapita miaka mitatu toka wanafunzi waanze mchezo huu na mhasibu alikua hajaliona hilo hivi ukweli uko wp hpa? Baada ya kuja mhasibu mpya ndie aliyegundua huu mchezo na baada ya kugundua tu wakamtimua.
Kikubwa zaidi wanafunzi hawa wanapata mikopo kutoka students loans board na kwenye barua yao ya kufukuzwa waliambiwa taarifa zitatumwa loan board na tcu ili wasitishie huduma lakini uongozi wa taasisi hii haujafanya hivyo na kwa male wanaopata mikopo majina yao bado yanakuja chuoni hpo na ili uendelee kupata mkopo lazima bodi wapata matokeo yako ya kila semister na hawa jamaa hawajafanya mtihani wowote toka january but kule board kuna matokeo yao ambayo ni feki. Tunaomba msaada wenu wa kisheria kwani vijana hawa hawana pa kwenda na walijaribu kuonana na baadhi ya wanasheria but wakawa matapeli kwa kuwalia pesa zao na kazi hawajafanya na wanafunzi wapo mtaani wanateseka na hali ngumu ya maisha..........niliyoandika yote ushahidi upo wa maandishi...............TUNAOMBA MSAADA WANA JAMII