Habari,
Nilipata Ajali ya kugongana gari langu na lingine la kampuni fulani hapa jijini dar,Gari yangu ina third part ile gar iliyonigonga ina Comprehensive,Kesi ilienda nahakamani imeisha mwezi mmoja ulioisha yule dereva akatozwa faini elfu 40,000/=
Nikafuatilia nakala ya hukumu nikapata nikaenda polisi kuchukua final report na document zingine ili niende kwenye kampuni ya bima ya wale jamaa ili niweze kudai nitengenezewe gari yangu, sababu tokea mwezi wa nne gari yangu ipo gereji kusubiri bima wanitengenezee.
Nimepeleka vithibitisho vyote vya Ajali (documents zote pamoja na hati ya hukumu kutoka mahakamani) katika ile kampuni ya bima ili nilipwe, cha ajabu naambiwa mimi nimtafute alienisababishia ajali niende naye pale kwenye ofisi ya bima. Nikiwapigia simu walionisababishia ajali wananiambia Mwanasheria wao wa kampuni kawaambia kesi ilishaenda mahakamani dereva akalipa faini na kesi imeisha, kila gari itatengenezwa na bima yake.
Mimi bima yangu ni ndogo ya kwao ambao walinisababishia ajali ni kubwa.
Naombeni msaada wa kisheria.
Asanteni.
Nilipata Ajali ya kugongana gari langu na lingine la kampuni fulani hapa jijini dar,Gari yangu ina third part ile gar iliyonigonga ina Comprehensive,Kesi ilienda nahakamani imeisha mwezi mmoja ulioisha yule dereva akatozwa faini elfu 40,000/=
Nikafuatilia nakala ya hukumu nikapata nikaenda polisi kuchukua final report na document zingine ili niende kwenye kampuni ya bima ya wale jamaa ili niweze kudai nitengenezewe gari yangu, sababu tokea mwezi wa nne gari yangu ipo gereji kusubiri bima wanitengenezee.
Nimepeleka vithibitisho vyote vya Ajali (documents zote pamoja na hati ya hukumu kutoka mahakamani) katika ile kampuni ya bima ili nilipwe, cha ajabu naambiwa mimi nimtafute alienisababishia ajali niende naye pale kwenye ofisi ya bima. Nikiwapigia simu walionisababishia ajali wananiambia Mwanasheria wao wa kampuni kawaambia kesi ilishaenda mahakamani dereva akalipa faini na kesi imeisha, kila gari itatengenezwa na bima yake.
Mimi bima yangu ni ndogo ya kwao ambao walinisababishia ajali ni kubwa.
Naombeni msaada wa kisheria.
Asanteni.